Kwenu Wanasiasa, Mawaziri na Viongozi

Paf

JF-Expert Member
May 25, 2021
1,703
3,304
Inafahamika kabisa kuna matukio ya KITAIFA NA KIKAMPENI.

Zipo protocol za namna ya kuanza hotuba mbele ya viongozi wa kitaifa na kimataifa.

Ndugu WANASIASA, MAWAZIRI NA WATEULE WA RAIS. Katika matukio mengi yakitaifa mmekuwa mnaanza NA "SWAGA"ambazo zinaboa nazinavunja heshima yakiongozi MAALUM. Wewe nikiongozi unaanza kumpamba Rais huku ukijua kabisa wewe ni mteule wake.

Naomba muwatumie wataalamu wenu maofisini hasa idara ya habari kila ofisi wapo wanaojua namna yakuongea na halaiki.

Mfano; Wizara ya afya msaidieni awe na utulivu anapoongea,apunguze SWAGA kama anafundisha watoto. Mara utasikia WANAUME MPO? Hiyo ndiyo salaam yakuanza kwenye hotuba.Tukio la kitaifa linaheshima zake.SWAGA!SWAGA!
 
Doroty ananishangaza mno hafu shughuli serious anaanzanje na uhuni wa hvo
 
Inafahamika kabisa kuna matukio ya KITAIFA NA KIKAMPENI.

Zipo protocol za namna yakuanza hotuba mbele ya viongozi wa kitaifa nakimataifa.

Ndugu WANASIASA,MAWAZIRI NA WATEULE WA RAIS.
Katika matukio mengi yakitaifa mmekuwa mnaanza NA "SWAGA"ambazo zinaboa nazinavunja heshima yakiongozi MAALUM,
Wewe nikiongozi unaanza kumpamba Rais huku ukijua kabisa wewe ni mteule wake.

Naomba muwatumie wataalamu wenu maofisini hasa idara ya habari kila ofisi wapo wanaojua namna yakuongea
Na halaiki.
Mfano; Wizara ya afya msaidieni awe na utulivu anapoongea,apunguze SWAGA kama anafundisha watoto.
Mara utasikia WANAUME MPO?hiyo ndiyo salaam yakuanza kwenye hotuba.Tukio la kitaifa linaheshima zake.SWAGA!SWAGA!

Hilo tatizo linatokana na kuchanganya katika kuwateua career civil savants na politicians!!! Mifano ipo mingi, we anagalia tu wale waliokuwa career civil servants ambao wameteuliwa Kuwa RCs; wanapata tabu sana kwenye kutoa hotuba za hadhara , wanateseka sana mpaka wanakuwa kama comedians!! Vile vile wale wanaoteuliwa kwenye nafasi za career civil servants kutoka kwenye siasa ni matatizo pia; nadhani bwana Mpogolo atapata taabu sana huko kwenye uRas afadhali Rais kambadilisha Batilda!!!! Hata yule mkuu wa mkoa wa pwani, alipokuwa RAS wa Dar he was a very good career civil servant sasa ametupwa kwenye majukwaa anaweza kuonekana anapwaya kumbe ni sababu ya misallocation!!!
 
Na wale tunaoanza na piipooozi hata kwenye misiba unasemaje?
Kichwa kinasemaje,wanasisa na viongozi wote.SWAGA ZAO WAZIPELEKE KWENYE MIKUTANO YA KAMPENI,TENA ITUNGWE SHERIA HATA HIZI SARE ZA VYAMA ZINATUGAWA KWENYE MATUKIO YA KITAIFA.HALAFU TUNAHUBIRI UMOJA

MSIBANI SARE
ISSUE ZA KITAIFA SARE,
VIRABUNI SARE,
JAMANI JAMANI
 
Hilo tatizo linatokana na kuchanganya katika kuwateua career civil savants na politicians!!! Mifano ipo ming,i we anagalia tu wale waliokuwa career civil servants ambao wameteuliwa Kuwa RCs; wanapata tabu sana kwenye kutoa hotuba za hadhara , wanateseka sana mpaka wanakuwa kama comedians!! Vile vile wale wanaoteuliwa kwenye nafasi za career civil servants kutoka kwenye siasa ni matatizo pia; nadhani bwana Mpogolo atapata taabu sana huko kwenye uRas afadhali Rais kambadilisha Batilda!!!! Hata yule mkuu wa mkoa wa pwani, alipokuwa RAS wa Dar he was a very good career civil servant sasa ametupwa kwenye majukwaa anaweza kuonekana anapwaya kumbe ni sababu ya misallocation!!!
HIVI SEMINA HUWA HAWAPEWI?NI AIBU HATA KWA MABOLOZI WETU WALIOPO NCHINI WANAPOTUSIKILIZA.
Mfano bungeni siku ya budget wanaanza kutambulishana wake zao dk 20 wanawashangilia.
Utambulisho wa mabalozi nisekunde hata jina linamezwa na ubalozi kwenye ulimi
 
Back
Top Bottom