abdulhamis
JF-Expert Member
- Aug 2, 2019
- 1,436
- 2,292
Kwanza samahanini sana kwa yote yaliotokea najua ni wazi kabisa Mambo ni Mengi yalio waudhi na kuwakera wakat wa utawala wa Hayati Magufuli ila nyie kama viongozi mnatakiwa msahau yote na msimame kwa niaba yetu.
Tunajua Magufuli alikuwa mchapakazi na kafanya makubwa sana kwa niaba ya taifa la Tanzania japo mlipishana ila naomba tusahau hayo kwanza.
Kama hamtokua makini wakati huu baadae hali itakua mbaya na tutakua tumeshachelewa ona leo mafisadi ya CCM yanavyomchafua HayatI kuwa alikua fisadi mkubwa na kwa kukosa akili Wanachafua kila kitu alichokifanya yani wanasema mpaka stand ya Mbezi hakustahili kujengwa et itasababisha foleni how CAG?
Uko kote poa tu kama wanaamua kumchafua Hayati hawawezi kumchafua sababu kaacha Alama.
Wasi wasi wangu ni Ile Bandari ya Bagamoyo tunaomba mfatilie mtupe jibu Moja tu ili litasaidia uchafu wa Hao mafisad kugundulika au uzur wao.
Je, mkataba uo unasemaje? Je, aliokua Anaongea Magufuli juu ya mkataba ule ni kwel au si kweli na kama ni kweli why now waseme wanataka kuurudisha na Magufuli alishauriwa vibaya?
Upinzani zile nguvu za umma mlizo kua mnazitaka now mnazo Sasa fanyeni kitu kabla nchii hii haijapotea tukaanza kusota Tena kwa Miaka 100 ijayo.
Tunajua Magufuli alikuwa mchapakazi na kafanya makubwa sana kwa niaba ya taifa la Tanzania japo mlipishana ila naomba tusahau hayo kwanza.
Kama hamtokua makini wakati huu baadae hali itakua mbaya na tutakua tumeshachelewa ona leo mafisadi ya CCM yanavyomchafua HayatI kuwa alikua fisadi mkubwa na kwa kukosa akili Wanachafua kila kitu alichokifanya yani wanasema mpaka stand ya Mbezi hakustahili kujengwa et itasababisha foleni how CAG?
Uko kote poa tu kama wanaamua kumchafua Hayati hawawezi kumchafua sababu kaacha Alama.
Wasi wasi wangu ni Ile Bandari ya Bagamoyo tunaomba mfatilie mtupe jibu Moja tu ili litasaidia uchafu wa Hao mafisad kugundulika au uzur wao.
Je, mkataba uo unasemaje? Je, aliokua Anaongea Magufuli juu ya mkataba ule ni kwel au si kweli na kama ni kweli why now waseme wanataka kuurudisha na Magufuli alishauriwa vibaya?
Upinzani zile nguvu za umma mlizo kua mnazitaka now mnazo Sasa fanyeni kitu kabla nchii hii haijapotea tukaanza kusota Tena kwa Miaka 100 ijayo.