Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,658
- 20,889
wadau msisahau miwa pia viwanda vinne vya tanzania vinalima hekta 17000 za miwa sijajua outgrowers. kenya isiyokuwa na ardhi wala maji wana hekta zaidi ya 100,000 na viwanda zaidi ya saba acre moja unaweza limia kama 2m data za india lakini bongo sikupata data najua itakuwa cheap inaweza kuzalisha 40 tonnes za raw cane ambayo unaweza kupata zaidi ya 7m after processing japokuwa inahitaji kiwanda kama zabibu offcourse, kuna local means of processing na sio mpaka uprocess mpaka sugar also unaweza kufanya fermentation ukazalisha alcohol kwa ajili ya fuel kama brazil remember always there is a way round, kama gharama kubwa mnafanya joint venture ila nahisi kuzalisha alcohol sio gharama sana zaidizaidi ni moto wa distillation na macrusher moto unaweza kutumia mabaki ya miwa, maeneo kama ya bonde la rufiji, ruvuma na mito ya lindi kama matandu yanaweza kufaa.