Kwenu akina dada maneno yenu yamenichosha

M CM

JF-Expert Member
Nov 25, 2012
2,494
1,470
Za asubuhi, Hivi akina dada/wamama waliomo humu jamvini mna matatizo gani? Naombeni niwaulize hilo kwanza then nitaendelea kufafanua kwanini nimeuliza swali hilo, Hivi kama mtu ana jambo la msingi linalomsumbua moyo wake na amefunguka hapa jf akitegemea majibu mazuri na mafanikio makubwa kwa mada aliyoileta lakini mwisho wasiku anaambulia luga chafu, maneno ya kejeli na sifa za kijinga.KWA MFANO JAMAA ANATAFUTA MCHUMBA ILI AMUOWE. Mwisho wa siku majibu yanaishia kwa kuhoji harakaharaka una sura nzuri, salary slip yako inasomaje, weka picha, una nyumba,gari oh mara ana sura mbaya... oh mara mzee sana, huko mtaani hujawaona nk, Kwani huwa ni lazima upate mke kutoka mtaani kwako? je ni wangapi leo hii waliokutana sehemu mbalimbali kama vile kwenye baa, kwenye basi/daladala, mashuleni, kwenye mitandao nk na sasa ni mume na mke? je kweli kwamba wadada waliomo humu jf hamuhitaji kuolewa? na je mnaouliza sura nzuri zakwenu zikoje? Na mnaouliza cash kwani mwanaume ndiyo atm yako? Kwani uzuri wako unasaidia nini kwenye maisha na maendeleo ya familia yenu? NI VEMA KAMA WEWE HUNA HITAJI HILO AU TAYARI UNAYE WA KWAKO UKATULIA NA WALE WENYE HITAJI WATAJITOKEZA KWA MAANA HII KAZI NGUMU YA KUTAFUTA MKE WAMEPEWA WANAUME LAKINI WADADA PIA WANAHITAJI KUOLEWA ILA HAWAWEZI KUSEMA. Nabii hauwawi, ujembe umefika
 
Za asubuhi, Hivi akina dada/wamama waliomo humu jamvini mna matatizo gani? Naombeni niwaulize hilo kwanza then nitaendelea kufafanua kwanini nimeuliza swali hilo, Hivi kama mtu ana jambo la msingi linalomsumbua moyo wake na amefunguka hapa jf akitegemea majibu mazuri na mafanikio makubwa kwa mada aliyoileta lakini mwisho wasiku anaambulia luga chafu, maneno ya kejeli na sifa za kijinga.KWA MFANO JAMAA ANATAFUTA MCHUMBA ILI AMUOWE. Mwisho wa siku majibu yanaishia kwa kuhoji harakaharaka una sura nzuri, salary slip yako inasomaje, weka picha, una nyumba,gari oh mara ana sura mbaya... oh mara mzee sana, huko mtaani hujawaona nk, Kwani huwa ni lazima upate mke kutoka mtaani kwako? je ni wangapi leo hii waliokutana sehemu mbalimbali kama vile kwenye baa, kwenye basi/daladala, mashuleni, kwenye mitandao nk na sasa ni mume na mke? je kweli kwamba wadada waliomo humu jf hamuhitaji kuolewa? na je mnaouliza sura nzuri zakwenu zikoje? Na mnaouliza cash kwani mwanaume ndiyo atm yako? Kwani uzuri wako unasaidia nini kwenye maisha na maendeleo ya familia yenu? NI VEMA KAMA WEWE HUNA HITAJI HILO AU TAYARI UNAYE WA KWAKO UKATULIA NA WALE WENYE HITAJI WATAJITOKEZA KWA MAANA HII KAZI NGUMU YA KUTAFUTA MKE WAMEPEWA WANAUME LAKINI WADADA PIA WANAHITAJI KUOLEWA ILA HAWAWEZI KUSEMA. Nabii hauwawi, ujembe umefika

Ukileta jambo JF tegemea lolote. Likiwemo unalopenda kusikia na usilolipenda. Sasa kama wewe unataka uambiwe unalolitataka tu, basi JF hapakufai...
 
Anayetafuta mke au mchumba pia naye hutoa sifa nyingi azitakazo hivyo ni sahihi pia kwa wanawake nao kuulizia kama na wewe una sifa wazitakazo ili wakuPM
 
mkuu unapenda kuskia unachotaka kusikia tu?? Unataka kuamua utakachosikia? Ikifikia hapo itabidi tubadili jina la Jf (Jamii Forum) kuwa PF (Personal Forum)
 
Heheh,dnt take JF seriously ushaambiwa,humu watu tunapunguzia stress na kujifunza smtym,
mim ni mdau mkubwa wa kuwaambia waweke PICHA NA SALARY SLIP...sasa mtaani tunafahamiana cwez kukuuliza hvo vtu cz nakuona atleast I HAVE A CLUE WE NI NANI,na JF hunijui sikujui bado nisiulize as well?‎؟‎!!!....picha ztaendelea kuulizwa km kawa,... ..hata kwny hii thread weka picha km vp
 
Umejuaje hayo majibu ya karaha yanatolewa na jinsia ya ke pekee?
Hebu kafanye homework yako vizuri.
 
siyo kweli kwamba ni majibu ya haraka haraka na siyo kwamba hawapo serious ,.... nadhani majibu wanayotoa ndo kigezo kikubwa cha kumpata mume amtakaye kama anacho just sema................kingine lazima ukubali unapoweka uzi lazima ukutane na majibu unayotaka na usiyotaka okeey..............
 
Heheh,dnt take JF seriously ushaambiwa,humu watu tunapunguzia stress na kujifunza smtym, mim ni mdau mkubwa wa kuwaambia waweke PICHA NA SALARY SLIP...sasa mtaani tunafahamiana cwez kukuuliza hvo vtu cz nakuona atleast I HAVE A CLUE WE NI NANI,na JF hunijui sikujui bado nisiulize as well?‎؟‎!!!....picha ztaendelea kuulizwa km kawa,... ..hata kwny hii thread weka picha km vp
Haya bana nshakusoma kumbe huku muda wote utani na pakupumzikia
 
siyo kweli kwamba ni majibu ya haraka haraka na siyo kwamba hawapo serious ,.... nadhani majibu wanayotoa ndo kigezo kikubwa cha kumpata mume amtakaye kama anacho just sema................kingine lazima ukubali unapoweka uzi lazima ukutane na majibu unayotaka na usiyotaka okeey..............
Miss chaga mi nahisi wengu wa humu wameolewa ndo maana majibu mengi ya utani au kejeli
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom