REAGAN C.MABOGO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2014
- 1,269
- 1,007
Juzi tarehe 3 bando yangu ya wiki (mitandao yote) iliexpire kabla ya muda. Nikachukulia poa. Nikaamua kujiunga tena kupitia AIRTEL MONEY, na bando nyingine ya wiki, hiyo ikiwa ni tarehe 3 yaani juzi Jumatano.
Leo saa nane hii napiga mtu anapokea tu na simu inakata. Napokea ujumbe ukisema salio langu limekwisha. Nikaangalia salio kwenye hiyo yatosha (mitandao yote) nakuta nina dakika 0, 0 bytes , na 0 sms. Nikapiga simu AIRTEL huduma kwa wateja najibiwa kuwa wameona sijawahi kuweka vocha wala kununua salio ama bando yoyote kwa AIRTEL MONEY tangu JULY.
Nimeshituka sana.! Na kama hivyo ndivyo ilivyo mitambo ya AIRTEL, basi wenye pesa zenu kwenye account za AIRTEL MONEY anzeni kutafakari upya kabla mambo hayajaharibika. Muda wowote utaenda kutoa pesa na utapata ujumbe kuwa huna salio la kutosha kwenye account yako.
Leo saa nane hii napiga mtu anapokea tu na simu inakata. Napokea ujumbe ukisema salio langu limekwisha. Nikaangalia salio kwenye hiyo yatosha (mitandao yote) nakuta nina dakika 0, 0 bytes , na 0 sms. Nikapiga simu AIRTEL huduma kwa wateja najibiwa kuwa wameona sijawahi kuweka vocha wala kununua salio ama bando yoyote kwa AIRTEL MONEY tangu JULY.
Nimeshituka sana.! Na kama hivyo ndivyo ilivyo mitambo ya AIRTEL, basi wenye pesa zenu kwenye account za AIRTEL MONEY anzeni kutafakari upya kabla mambo hayajaharibika. Muda wowote utaenda kutoa pesa na utapata ujumbe kuwa huna salio la kutosha kwenye account yako.