Kwenda technical college like DIT na A-Level wapi ni bora zaidi?

Greater thinker

JF-Expert Member
Sep 12, 2011
286
38
waungwana kwa mwanafunz alyemalza kdato cha 4 (science) na yuko na passion ya kuwa degree holder wa computer engineering....sasa unaweza ukamshaur vp huyu mwanafunz aende tech.collg kma mist,dit,etc km unavojua kuwa uktaka kuwa na qualifctn nzur za kwenda chuo kuchukua computer engineering lazma uwe na point si chn ya tano PCM..na yy anavojiona kwa uwezo wake kuwa hawez akfksha hzo point 5...uwezo wke n point 7...so advce wakuu na mtoe advantge na disadvntage kwa both sides
 
Mbona kuna wa2 kibao wana pts 16 wanasoma hyo program pale udom..uoga wenu unawaponza watanzania,ebu nenda A-level bwana mdogo.
 
Kama ndoto zake ni kuwa degree holder basi aende form five, ila kama ana ubavu aende pale DIT kwani pako njema katika masuala ya Compyuter and electronics, kama uwezo wake utakuwa mzuri basi after three years anaweza kujiunga pale ECSE kupambana na vijana wenye point 3,4 au5, Kufaulu ni mipango ya mungu na hakuna mjanja kwenye mtihani so asiseme uwezo wake ni point saba huo ni uongo wa wazi kabisa, anaweza akasema atapata single ya saba akakuletea tatu ya 16, so mimi ninamshahuri aende Technical college kama mimi na akiwa mkali basi anaweza kwenda mlimani,
 
Aache kabisa mie wakati nipo Olevel pale iyunga nilipenda sana maisha ya watu wa Mbeya tech so nkaopt kwenda kwenda tech nkapata palepale mbeya ndugu zang walisoma hawakupenda mie kwenda pale wakat naeza enda alevel wakanibeba nikaenda advance then chuo kurud kazin mie boss waskaji wang wao wanagonga spaner 2 nafasi ni ndogo kujiendeleza ukipitia huko.
 
KAMA WE UNATAKA KUSOMA UAJIRIWE NENDA DIT UTAPATA EXPOSURE NA UTAKUWA NONDO
On othr hand kama unataka sifa nenda katafute a-level then ukitoka chuo ukaanze kubadilisha bahasha-am talkn 4rom experience computer science market imesaturate nowadays
 
Siwezi kukupa Advantage za Advance ila nitakupa advantage za DIT kwani mimi ndiko nilikopatia FTC yangu kabla sijatunukiwa shahada pale MECHE Coet

Advantage za DIT
  • Unaanza maisha ya chuo mapema so matatizo ya elimu ya juu utayazoea mapema
  • Unaanza kula bumu la Industrial Training (IT) UD wanaiita PT mapema so utaanza kufaidi mapema
  • Waalimu wanaokufundisha wengi wana masters so exposure yao ni kubwa tofauti na Advance
  • Hakuna Tuition tofauti na advance
  • Msosi wao si mchezo kila siku usiku na siku za jumapili mnagonga rice, asubuhi chai maziwa na mkate, jumapili mnapiga chai na mayai NB kama ratiba ya msosi haijabadilika kwani mimi nimeondoka huko takribani miaka saba iliyopita
  • Kama ukichemka unaendelea na ujuzi wako kama kawaida
  • Vile vile nafasi ya kwenda chuo kikuu ipo pale pale kwani hata mimi nilikuwa na wasiwasi lakini mungu akasaidia nikapasua na kufanikiwa kwenda mlimani.
  • Siku hizi wanatoa Diploma tena mfumo wa sasa ni rahisi zaidi kwani wanasoma kwa semister so kama wewe ni kichwa ni virahisi kufauru tofauti na enzi zangu kwani kulikuwa na pepa la mwisho kutoka NECTA
Mkuu nikushauri kama upo serious DIT ni bora kuliko huko unakokufikiria, kuna jamaa walichomoa kujiunga DIT eti wakaenda Advance then at the end walipochemka advance wakaomba St Joseph ambapo wanafundisha Engineering hiyohiyo

Thanks for further information ni PM
 
Nenda DIT,UTASOMA UHANDISI KWA MIAKA SITA BADALA YA MI NNE YA VYUO VINGINE (DIPLOMA MIAKA MITATA-3,NA DEGREE MIAKA 3)
KAMA UNATAKA KUWA COMPETENT NENDA DIT!
ACHANA NA PROPAGANDA!
 
nashukuru kwa michango yenu bt naomba mnipe adv ya advanc +dsadv n college pia

we kuwa makini na muda unajua ukipitia vyuon kutoka form 4 hadi kuchukua degree hii ni njia ndefu sana tofauti na yule aliyeenda a level hadi kuchukua degree hii ni njia fupi kaa chini uanze kujumlisha miaka.Alafu Unaomba ushauri huku unaonesha kuwa upo upande fulan we amejuaje kama hana uwezo wa kupata 5 pts kabla hata hajayasoma hayo masomo.Faida za kwenda chuo jamaa kashazisema.
 
Mbona kuna wa2 kibao wana pts 16 wanasoma hyo program pale udom..uoga wenu unawaponza watanzania,ebu nenda A-level bwana mdogo.

we jamaa yangu acha dharau bwana mbona ivo wewe ushafika eeh! Poa tukutane mtaan
 
kuna washkaj zangu wawil Wamemalza hapo dit mwaka huu dip,washalamba kazi na me nilikuwa nao clas moja,ndo kwanza nipo 2nd year chuo,nawataman washkaj kiukwel make bdo naish kwa kudra za bumu tu!
 
Mbona kuna wa2 kibao wana pts 16 wanasoma hyo program pale udom..uoga wenu unawaponza watanzania,ebu nenda A-level bwana mdogo.

senetor,
bila shaka unasoma udsm,wewe ni limbukeni sana(sina nia ya kukukwaza/kukukera bt im tellin u da truth),acha dharau kaka,hata udom ni chuo(sihusiani na udom kwa namna yeyote ile),nimefuatilia post zako nyingi,unaonekana mtu wa kupenda kujisifu/kusifiwa hasa kwa chuo unachosomea,udsm!
Badilika ndugu,maisha yana vipengele vingi sana!
Samahani kama umekereka mkuu!
 
Siwezi kukupa Advantage za Advance ila nitakupa advantage za DIT kwani mimi ndiko nilikopatia FTC yangu kabla sijatunukiwa shahada pale MECHE Coet

Advantage za DIT
  • Unaanza maisha ya chuo mapema so matatizo ya elimu ya juu utayazoea mapema
  • Unaanza kula bumu la Industrial Training (IT) UD wanaiita PT mapema so utaanza kufaidi mapema
  • Waalimu wanaokufundisha wengi wana masters so exposure yao ni kubwa tofauti na Advance
  • Hakuna Tuition tofauti na advance
  • Msosi wao si mchezo kila siku usiku na siku za jumapili mnagonga rice, asubuhi chai maziwa na mkate, jumapili mnapiga chai na mayai NB kama ratiba ya msosi haijabadilika kwani mimi nimeondoka huko takribani miaka saba iliyopita
  • Kama ukichemka unaendelea na ujuzi wako kama kawaida
  • Vile vile nafasi ya kwenda chuo kikuu ipo pale pale kwani hata mimi nilikuwa na wasiwasi lakini mungu akasaidia nikapasua na kufanikiwa kwenda mlimani.
  • Siku hizi wanatoa Diploma tena mfumo wa sasa ni rahisi zaidi kwani wanasoma kwa semister so kama wewe ni kichwa ni virahisi kufauru tofauti na enzi zangu kwani kulikuwa na pepa la mwisho kutoka NECTA
Mkuu nikushauri kama upo serious DIT ni bora kuliko huko unakokufikiria, kuna jamaa walichomoa kujiunga DIT eti wakaenda Advance then at the end walipochemka advance wakaomba St Joseph ambapo wanafundisha Engineering hiyohiyo

Thanks for further information ni PM
Du Mzee ulisoma DIT zile enzi za kufunga motor nini...he he he, top layer ya Mzee Zoro ilikuwa kiboko!.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom