Kwenda kwa mumeo na vitu vyote au kwenda na begi?

Helo my dears
kwanza nianze na story hii
juzi nilienda kwenye kitchen party ya rafiki .wakati wa zawadi mamayake kumbe alienda china kafungasha contena lina kila kitu cha ndani kilazagazaga
vitanda,magodoro ,sofa ,majiko ,friji ,radio ,matv, taulo …yaaanikila kitu ambacho kinatakiwa kiwe ndani ya nyumba ya mtu hadi kijiko
kijana aliemuoa huyo dada ni mtu wa kawaida tu kwa kweli ,hata kujenga bado
sasa najiuliza hili limekaaje wadau
hivi ni sawa kwa mwanamke ukiolewa kwenda na kila kitu kwamume… au ni vizuri kwenda na begi lako la nguo tu?

tatizo la hapo ni kwamba ninavyowajua wanawake..siku mwanaume akimuudhi anaweza kumwambia alale chini akisema kitanda ni changu hakuna kulala leo hapa..mmh hapana na siku mama mkwe anaingia ndani anaanza kufungua fridge ataanza kutumia vitu vyenu na kulalamika hamuwezi maana vitu ni vyake na alitumia hela yake..we kama mwanaume hapo utamwambia nini mama mkwe wakati vitu vyote ni vya kwake yeye?
 
tatizo la hapo ni kwamba ninavyowajua wanawake..siku mwanaume akimuudhi anaweza kumwambia alale chini akisema kitanda ni changu hakuna kulala leo hapa..mmh hapana na siku mama mkwe anaingia ndani anaanza kufungua fridge ataanza kutumia vitu vyenu na kulalamika hamuwezi maana vitu ni vyake na alitumia hela yake..we kama mwanaume hapo utamwambia nini mama mkwe wakati vitu vyote ni vya kwake yeye?
pata picha ndugu zako mwanaume wakija kwako kukaa maybe?????????? acha mkuu
 
mi namaanisha zawadi ziwe za kawaida dear,,sipingi kwenda na masufuria na nini ila hadi kitanda cha kulalia mume na ndugu ..kila kitu...tuangalie bwana haya mambo mpenzi

Mie ninachoona siku hizi watu wanapewa set za vitu kama ni kabati,kitanda, dressing table etc etc sasa unataka kuniambia utakichomoa hicho kitanda umuachie mama yako halafu uende na hivyo vilivyobaki?!
Nafikiri labda nikisoma katikati ya mstari ni kuwa hukumuelewa huyo mama kuleta container zima kwaajili ya vitu vya mwanae au umejaribu kujivalisha viatu vya mwanaume na kuanza kufikiria atajisikiaje kununuliwa kila kitu ndani ya nyumba na mama mkwe(ukizingatia wanawake wanasifika kwa kusimanga), hebu nieleweshe vizurindugu yangu maana naona napata tabu kwelkwel kukuelewa.
Kama unaona sawa kwenda na vitu vingine na si sawa kwenda na kitanda mbona kwenye michango yetu huwa wananunua na kitanda kwenye hiyo set nimekutajia?????!!!!!!!!
 
ahahaa kuna zawadi na zawadi bwana ..hadi vitanda vya nyumba nzima?

Sielewi kwanini ur against...Kama vitu vimetolewa kwa ajili ya arusi kwa nini uviache?Ndio maana ya zawadi.Mbona watu huwa wanapewa mang'ombe siku ya arusi na wanaenda nayo kuanzisha familia?
Hebu nambie ..kwani ukienda navyo kuna tatizo gani?si mtatumia wote na mumeo????
 
tatizo la hapo ni kwamba ninavyowajua wanawake..siku mwanaume akimuudhi anaweza kumwambia alale chini akisema kitanda ni changu hakuna kulala leo hapa..mmh hapana na siku mama mkwe anaingia ndani anaanza kufungua fridge ataanza kutumia vitu vyenu na kulalamika hamuwezi maana vitu ni vyake na alitumia hela yake..we kama mwanaume hapo utamwambia nini mama mkwe wakati vitu vyote ni vya kwake yeye?
mtotowamjini hivyo vitu vitakuaje vya kwake iwapo alimnunulia zawadi mwanae???kama vyake si angepeleka nyumbani kwake???. Ina maana mie nikikununulia zawadi ya viatu siku nikija kwako naweza kuvichukua tu na kuvivaa sababu nilinunua mimi???!!!!aiseeeeee hii kiboko
 
Last edited by a moderator:
neno hili.....
unakuta mwanaume hali mbaya mke hela anaendea saluni badala ya kumstiri mwenzie....

sasa maana ya kununuliwa vyombo vyote hivyo ni nini kama utaviacha nyumbani?
vitumiwe na nani mende au panya?

kwa hiyo ukienda kwa mumeo uanze kununua masufuria ilhali umeyaacha nyumbani?

mambo gani haya,

huo ni uchoyo na ubinafsi kama unavyosema King'asti



Wanawake wa siku hizi ni wa-binafsi sijapata kuona! Yaani kaletewa zawadi za kitchen party (whether from China ama from US haijalishi!). Anataka aziache kwao aende na bag la nguo tu kwa mumewe?

Nikuulize swali mamito, ulishawahi kumuona baba yako amekuja home na vijiko katoka kununua? Unaelewaje maana ya mke kuwa msaidizi wa mumewe? Umesema kijana hajajenga, wakianza maisha na vitanda na mashuka ya zawadi, huoni ni chance yao kuwekeza kwenye ujenzi kwa nguvu moja?

No wonder ndoa zinawashinda ndani ya miezi mitatu. Acheni maisha ya maigizo! Huyo mwanaume kuna siku ataamka hana mia! Na ni kazi yako kumsitiri na sio kumkimbia! Zinduna nalo sijui limejificha wapi, hebu rudi huku ufunde wadogo zako!
 
Last edited by a moderator:
pata picha ndugu zako mwanaume wakija kwako kukaa maybe?????????? acha mkuu

Nikutupie swali lingine je mama angeamua kumpa mtoto wake mbele ya umati wote milioni 50 aende akafanye shopping ya vitu vya nyumbani kwake,je hiyo ungeipokeaje Smile???!!!
 
Last edited by a moderator:
ukiona mama mkwe anafungua fridge ujue ni tabia mbaya tu ya mkweo...

ukiona mkeo anakufukuza kitandani kwa kuwa amenunua yeye ujue ni tabia mbaya tu ya mkeo....

haina nafasi na kununuliwa na mkwe....

kwa lugha nyingine ujue ulikurupuka kwenye kumuoa huyo mwanamke........ hukufanya uchaguzi sahihi...



tatizo la hapo ni kwamba ninavyowajua wanawake..siku mwanaume akimuudhi anaweza kumwambia alale chini akisema kitanda ni changu hakuna kulala leo hapa..mmh hapana na siku mama mkwe anaingia ndani anaanza kufungua fridge ataanza kutumia vitu vyenu na kulalamika hamuwezi maana vitu ni vyake na alitumia hela yake..we kama mwanaume hapo utamwambia nini mama mkwe wakati vitu vyote ni vya kwake yeye?
 
samahani wadau (JF) mimi naombeni mnisaidiekujua dawa ya kupaka sehemu za siri wakati mnafanya mapezi
na inamadhara gani na kwa jina inaitwaje?:baby:
 
Nikutupie swali lingine je mama angeamua kumpa mtoto wake mbele ya umati wote milioni 50 aende akafanye shopping ya vitu vya nyumbani kwake,je hiyo ungeipokeaje Smile???!!!
iyo poa ...mtu kukupa hela ni kitu kingine bora hela kuliko mwanaume kupewa kitanda cha kulala na mamamkwe ..hun mikono mi naona ni fedheha kwa kweli
 
Smile, Ukubali ukatae vitu vyote vinavyonunuliwa katika kitchen party ama sendoff ni lazima viende vikaanzishe familia tarajiwa. kwanini, kwanza tujiulize kitu gani kimesababisha hizi sherehe mbili (na zawadi) zipatikane jibu ni MUME. so hamna sababu ya kuviacha na kuondoka na begi.

kama wazazi wangependa kumpatia mtoto wao zawadi wangemfanyia hivyo kabla hawajaelezwa before kitchen party au sendoff, maadam kuna kisababishi kilichosababisha hapo hamna kipingamizi zawadi ni za wote.
 
ukiona mama mkwe anafungua fridge ujue ni tabia mbaya tu ya mkweo...

ukiona mkeo anakufukuza kitandani kwa kuwa amenunua yeye ujue ni tabia mbaya tu ya mkeo....

haina nafasi na kununuliwa na mkwe....

kwa lugha nyingine ujue ulikurupuka kwenye kumuoa huyo mwanamke........ hukufanya
uchaguzi sahihi...
ndoa hatabiriki hapo red hakuna ajuae?ingekuwa sio sahihi asingeoa

 
kwa nini wanaume huwa hamjiamini?
haswa inapokuwa mwanamke ana kila kitu?
kwa nini umuwazie mwenzio mabaya?

kuna wanaume wabinafsi wachoyo na wanyanyasaji wasiotaka ndugu za wake zao ....lakini hili halimfanyi mtu aone wanaume wote hawafai...

vilevile kuna wanawake wabinafsi wachoyo na wanyanyasaji wasiotaka ndugu za waume zao ... hili pia halimfanyi mtu ahukumu wanawake wote........

ndoa ni vile mnavyoijenga tangu mwanzo
na ujenzi huu unategemea tabia ya mwenza uliyemchagua...
na inatiwa uimara na kujiamini kwa wanandoa




mke anaweza akawa mkali sana kwenye matumizi ya vile vitu,,,,,some tym ndugu wa mume watakua na wakat mgumu sana kwenye kuvitumia,,,,,,,,,
pia mikwaruzano kidogo,,,,,,masimango yanaamia kwenye VITU
 
samahani wadau (JF) mimi naombeni mnisaidiekujua dawa ya kupaka sehemu za siri wakati mnafanya mapezi
na inamadhara gani na kwa jina inaitwaje?:baby:
naskia inaitwa misk niliisoma fb huko ...nipe jina lako nikuaad kwenye ilo group ,by the way kwani k yako ina dhoruba gani hadi uipake dawa? raha ya kula ni uwe natural
 
Hapa ndio wababa wenye uwezo wanapo waaribu watoto wao wakiingia ndoani wanakuwa na midomo kama chuchunge kisa kwao wako vizuri na baba kashamvimbisha kichwa kwamba akizinguliwa arudi hivi kuna ndoa ambayo haina mizinguo kweli
duh,huyo mama noma. hataki mwanae aende kuteseka. kuna kigogo mmoja jina kapuni, ye akiozesha binti zake anawambia mumeo akikuzingua rudi. na akirudi anampa kazi katika moja ya makampuni yake na kumlipa mshahara kama wafanya kazi wengne. chezeiya pesa wewe!
 
Hakuna tatizo.Tena itasaidia sana hao new couple kuwaza mambo makubwa zaidi ya vyombo.

Raha ya maisha ya ndoa ni kuanza pamoja. Mambo ya kufungashiana makontena ya nini bana?
Mnakaa na mumeo/mkeo mnatafuta shilingi kwa pamoja na kupanga nini cha kufanya/kununua kwa wakati gani.
 
Back
Top Bottom