Ninasikitishwa sana na mawazo finyu ya hawa wanojiita viongozi wa cc mafisi, wanaposema au wanapowazuia wanachama,wapenzi wa cdm kwenda kwenye mkutano kwa pamoja na kusema ni maandamano. Nakumbuka au niseme hivi tunapoenda, kutoka uwanja wa Taifa kwa makundi hata ikibidi kwa kukimbia na kuimba hadi katikati ya jiji bila ulinzi wa polisi je huwa ni maandamano. Kwanini cc mafisi hawajifunzi hawa viongozi wanofanya hivi kuwanyima wananchi uhuru wao itakuwaje hapo chama chao au sheria (katiba) mpya itakaposimamiwa sawasawa. Je ingekuwa ni cc mafisi ndio wanafanya mkutano wangefanya ivyo. Nasema yana mwisho na sio muda mrefu Watanganyika watakombolewa.