Kwenda chooni na kikopo cha maji kinatosha kujisafisha?

Ukweli ni kwamba matumiz ya choo huchangis kwa asilimia kubwa sana kuenea kwa magonjwa ya kuhara.

Nchi zinazoendelea ndio Bado tunahangaiks na ishu za kunawa mikono na matumizi sahihi ya vyoo.

Kwa kawaida kwa hali ya hewa ya tropical countries matumiz ya maji vyoon huwa ni Bora zaidi kuliko matumiz ya karatasi. Ubora huu huja kwasabb mtu hujiosha vyema baada ya haja na kubaki msafi bila harufu.ns baada ya hapo mtu huyu anatakiwa akutane na sabuni na maji ili anaweza mikono vzr.

Gharama zinakuwa kubwa sana hasa za sabuni na maji lkn hatuna budi kuku baliana na Hali hii kwan gharama za kujitibia na nguvu plus muda nu kubwa zaidi
 
unaenda toi na kikopo afu ghafla kabla hujashika adabu zako kikopo kinaanguka maji yamwagika na nje kuna foleni wasubiriwa utoke aingie mwingine
:D:D nakumbuka siku nimeingia toi sehemu nikitegemea ntakuta maji nikashusha vitu nikijua bomba linatoa maji,kumbe maji yamekata aisee niliganda pale nikivizia apite mtu.kilichofata sasa sitaki maswali.......hahahaa:D:D:D
 
Najaribu kuimagine msasa unavyosugua mbao inakuaje kwenye 0716
Makalio mengi ya waafrica ni Magumu by Natural mkuu kutokana na pilika pilika ,

We makalio kuanzia chekechea yanakalia bechi na mawe plus bakora za kutosha unafikiri ukiwa mkubwa yanakuaje?
 
Nadhani inategemea na ukubwa wa maumbile yako, mtu kama le kokobanga le akili kubwaz inabidi aende na ndoo nzima.
 
:D:D nakumbuka siku nimeingia toi sehemu nikitegemea ntakuta maji nikashusha vitu nikijua bomba linatoa maji,kumbe maji yamekata aisee niliganda pale nikivizia apite mtu.kilichofata sasa sitaki maswali.......hahahaa:D:D:D
Hahaaaah pole sana
 
hayo mambo ya wazungu halafu vyakula wanavyokula wale ni vilaini,sasa shughuli ya ugali maharage na mboga kisamvu hapo bado asubuhui umepiga chai na mihogo,jioni umepita barabarani umeona muhindi wa kuchoma umeshushia unadhani ukienda haja kubwa hiyo TP itafua dafu?
sema usemavyo mavi ni mavi tu,yawe laini au magumu huo ni uchafu nukta watu wachambe na maji ya kutosha
 
Kuna tofauti ya kunawa na kujifuta,hizo toilet paper sijui majani ni kujifuta tu mavi hakuna cha kula vyakula laini wala utamaduni wa kiafrika.
 
Makalio mengi ya waafrica ni Magumu by Natural mkuu kutokana na pilika pilika ,

We makalio kuanzia chekechea yanakalia bechi na mawe plus bakora za kutosha unafikiri ukiwa mkubwa yanakuaje?
Na ndo mana makalio mengi ya vipele vipele
 
Jana kwenye Biko ,namuona Kajala mikono yote kabandika mikucha mirefu km mtoto wa jini .

Haaaaaa nkajiuliza uyu anajisafisha vizuri ? Khuko Tigon na mbele ? Sindo hawahawa wanaotoa bad smell ??.

Bidet shower

A bidet shower (bidet spray, bidet sprayer, or health faucet), is a hand-held triggered nozzle that delivers a spray of water in anal cleansing and cleaning the genitals after defecation and urination.

The bidet shower is a relatively modern replacement for the traditional sources of water for this action, such as the bidet, copper pot or bucket and mug, being more hygienic and compact. There is no contact between the spray of water and the used water drainage.

TP.JPG
 
Jana kwenye Biko ,namuona Kajala mikono yote kabandika mikucha mirefu km mtoto wa jini .

Haaaaaa nkajiuliza uyu anajisafisha vizuri ? Khuko Tigon na mbele ? Sindo hawahawa wanaotoa bad smell ??.
bandia zile kabla ya haja anazitoa fresh tu
 
Back
Top Bottom