KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Kumbe laptop tunazotangaziwa nikanyabwoya!!unatakiwa ukafungue akaunti katika benk ya ABC Bank then upeleke mshahara wako uwe unapita pale ili wakukate makato ya kompyuta utakayokuwa umenunua!!unanunua computer kwa bei zaidi ya ilinayouzwa kwenye soko!!Wizi mtupu!!