Chwekamu
JF-Expert Member
- Nov 1, 2017
- 507
- 491
Tulihama Nachingwea mwaka 1986,I was so young by then.
Marehemu mama Yangu aliwahi nunua Shamba kubwa,But wakati tunahama kule mama Alimuachia Shamba rafiki yake mama Mbwana,
Na akamwambia,naondoka rafiki Yangu ila nakuachia Shamba langu,ila tumia na litunze wanangu wakiwa wakubwa Wape.Tena alimkabidhi bila Maandishi yeyote.
Ni zaidi ya miaka 31 Now,Na Tukiwa Atujuhi lolote juu ya ilo Shamba, huyu mama Amenitafuta kupitia mtandao Wa Kijamii Facebook,
Kiukweli alikuwa na uwezo Wa kukaa kimya na pia Kutudhurumu but Akufanya hivyo.
Jamani Huyu mama ni Mfano Wa Kuigwa.
Hongera sana Mama Mbwana na pia now naamini kweli ulikuwa rafiki bora Wa MAMA.
NDUGU ZANGU WANA JF WATU WEMA BADO WAPO.
JE UNA MKASA GAN AMBAO UNAFANANA NA HUU?
Marehemu mama Yangu aliwahi nunua Shamba kubwa,But wakati tunahama kule mama Alimuachia Shamba rafiki yake mama Mbwana,
Na akamwambia,naondoka rafiki Yangu ila nakuachia Shamba langu,ila tumia na litunze wanangu wakiwa wakubwa Wape.Tena alimkabidhi bila Maandishi yeyote.
Ni zaidi ya miaka 31 Now,Na Tukiwa Atujuhi lolote juu ya ilo Shamba, huyu mama Amenitafuta kupitia mtandao Wa Kijamii Facebook,
Kiukweli alikuwa na uwezo Wa kukaa kimya na pia Kutudhurumu but Akufanya hivyo.
Jamani Huyu mama ni Mfano Wa Kuigwa.
Hongera sana Mama Mbwana na pia now naamini kweli ulikuwa rafiki bora Wa MAMA.
NDUGU ZANGU WANA JF WATU WEMA BADO WAPO.
JE UNA MKASA GAN AMBAO UNAFANANA NA HUU?