Kweli waTanzania wamechoka. Nchi imemwagiwa petroli. (MWANZA)

Hata wao wenyewe CHADEMA walishangazwa na idadi ndogo ya watu waliojitokeza. Amini usiamini, watu walidhani Mwanza pangechimbika na biashara kufungwa.....hakuna lolote magari yalipita kama kawaida, watu waliendelea na biashara na kazi kama kawaida. Maoni ya wengi waliona ni kupoteza muda tu, mtu aache kutafuta riziki yake na watoto aandamane akapigwe jua!
Wengine walisema mbona hao viongozi wa CHADEMA hatujawasikia wakitoa posho au mishahara yao kwa wananchi kama kweli wana uchungu huo? Mbona hawajakataa ile mikopo ya millioni 200, na milioni 90 za magari? Lema anaongea tu, mbona mkopo kavuta?
Watu wamekuwa wajanja, wameona wanatolewa kama chambo, viongozi wakitoka hapo wanakutana Tilapia au TAI FIVE WANAGONGANISHA GLASI ZA MVINYO,,, WALALAHOI WANARUDI MILIMANI AMBAPO HATA UMEME HAKUNA!
Acheni kuwapotezea muda watanzania. Amani iliyopo tuilinde wote.

we ongea kwa kuwa domo lako ni la kifisadi ila tuliokuwepo tuliona hali halisi na idadi ya watu kuzidi wewe unaeongea kwa hisia na mahaba ya kifisadi.
 
Nini faida ya MAANDAMANO haya, nchi hii ni maskini watanzania wanatakiwa kufanya kazi kwa bidii na si maandamano.

kwani umeskia watanzania wanashinda ndani wammelala???? sera mbovu uongozi mbovu, ufisadi na ubinafsi wa viongozi wa CCM ndo chanzo cha umaskini....
maanda,ano yaendeleeeeeeeeeee mpaka waachie ngazi:bange:
 
Yan uyu jamaa anayeulza angekuwa uko Libya, sa iv angekuwa tayar Jehanam na wala si pepon, coz pepon hawaend watu wazembe km hao, ukzingatia utamkuta ni mvivu wa kutupwa! Afanyaye kaz kwa bidii Tz hi awez shangaa maandano kua ni ya nin. Viwand vmefungwa hakuna umeme, hosptal zmefungwa, kila ktu kmepanda bei. Unataka watz wafanye kaz kvp hasa? Ama kwel kwenye msafara wa mamba, kenge nao wamoo! Hata ktk watenda kaz, wazembe hawakosi! Mi nahamassha zaid vita ianze juu ya watu km hawa, coz ni miiba inayotuchoma ktk mbio zetu za kutafuta na kusaka maendeleo! Huna jpya ziba domo lako! Nyoooo!
 
Dr slaa na wapiganaji wetu leo(sasa hv) wameongoza maandamano makubwa hapa mjini geita,kweli wtz wamechoka ufisadi,hamasa iliyopo we acha tu ni noma.PEOPLES PR.....

wampinge ngeleja kwa kukosa umeme uchumi kudidimia na madini kutokuwa na tija kwa taifa
 
we ongea kwa kuwa domo lako ni la kifisadi ila tuliokuwepo tuliona hali halisi na idadi ya watu kuzidi wewe unaeongea kwa hisia na mahaba ya kifisadi.

Mchara, kuna member wanakazi maalum ndugu yangu.

Special task !!!!!!!!!!!

Majimshindo
Salimia
 
nyingi huanza na mbili. Ninavyofahamu population ya jiji la Mwanza hawa walioandamana si lolote si chochote, hao ni majobles tu, maduka mangapi yalifungwa wenyewe wakaenda kuandamana, masoko yalifungwa??wangapi waliondoka makazini?? vyuo/shule ngapi zilifungwa ?? Si chochote si lolote, msiige tembo kunya...nguvu ya wanachi haitatokea TZ, Watanzania wana akili bwana...CCM Oyeee!!!!

kama wale ni majobless wewe ni :majani7:
 
Nini faida ya MAANDAMANO haya, nchi hii ni maskini watanzania wanatakiwa kufanya kazi kwa bidii na si maandamano.

Kazi gani wakati hakuna kazi kwa vijana wengi. Utawala umeshindwa kutengeneza mazingira ya wawekezaji wa ndani na nje kuajiri vijana.
Tena na bado, wait for 5 more years when vijana walio secondary sasa hivi wamalize hizo shule za kata na kujikuta hakuna ajira.
What do you think made Mubarak kuachia ngazi? Utawala huu hauko immune kama hakutakuwa na mazingira bora ya kuajiri vijana.
All the uprising upnorth are becuase of educated jobless youths.

So waache vijana waandamane as long as it is peaceful demonstrations.
 
Dr slaa na wapiganaji wetu leo(sasa hv) wameongoza maandamano makubwa hapa mjini geita,kweli wtz wamechoka ufisadi,hamasa iliyopo we acha tu ni noma.PEOPLES PR.....

CCM ni maiti inayotembea bado kidogo tutaizika hata kama inabisha
 
Wana JF tufanyeje juu ya hawa vichwa vibovu? Coz imeonekana kua kero kwel, kila tunakikubal kwa aslimia 99, only 1% wao wana crush, uöngoz tusaidien kuwaondoa watu hawa coz wanatukera mno! Hawana jipya wao ni wa kupnga tu, hawana sababu! Yan badala ya sis wana JF, kujadil topic znazotolewa badala yake tumekuwa tukpoteza muda kuonesha hasira zetu juu ya vichwa maji hawa! Waache hizo pumba zao! Shit!
 
Hv uyu jamaa ajshtukii? Hagundui kuwa yupo mwnyw humu ndan ya JF, katoka wapi? Si utoke njee? Utuachie uhuru wetu? Mpaka unatia knyaa kwa huo utumbo wako! Big up Mwanza kwa hatua hyo mliyoichukua, what u plant it wl never and ever be perished away! We believ that, chachu ilyomwagwa inaenda kuchachua watz wote except maboyaz kam akna marco polo. Big up makamanda wote! Pipooooz! And every one in ths jf can shout and say poweeeeeeer!!
 
Wana JF tufanyeje juu ya hawa vichwa vibovu? Coz imeonekana kua kero kwel, kila tunakikubal kwa aslimia 99, only 1% wao wana crush, uöngoz tusaidien kuwaondoa watu hawa coz wanatukera mno! Hawana jipya wao ni wa kupnga tu, hawana sababu! Yan badala ya sis wana JF, kujadil topic znazotolewa badala yake tumekuwa tukpoteza muda kuonesha hasira zetu juu ya vichwa maji hawa! Waache hizo pumba zao! Shit!
Waacheni tu wajifurahishe ndvyo walivyoumbwa.
 
Solution ukiona mtu kaandika upupu usimjibu wewe endelea na maswala ya maana.
 
Nini faida ya MAANDAMANO haya, nchi hii ni maskini watanzania wanatakiwa kufanya kazi kwa bidii na si maandamano.

Unapoongelea kazi kwa bidii una maana gani?. Hivi unajua unemployment rate ya Tanzania?, Moja kati ya mambo yanayotakiwa kufanywa na viongozi ni kuhakikisha ajira zinakuwa kwa kuweka mazingira mazuri ikiwa ni pamoja na kupiga vita rushwa. Sasa kama wananchi hawana ajira unatarajia wafanye nini?. Serikali imeshindwa kuandaa mazingira mazuri ya ajira nchini. Katika nchi nyingi sana serikali si mwajiri mkuu, ila Tanzania Serikali ni mwajiri mkuu tena kwenye nafasi za hovyohovyo zinazolipwa kwa mabilioni ya fedha kama ukuu wa mkoa, wilaya, ukurugenzi wa halmashauri.

Tengeneza ajira nyingi na zinazolipa vizuri uone kama watanzania ni wavivu. Tatizo la wanasiasa ni kupiga blah blah za kuwataka wananchi wajiajiri kwa kufanya kazi mashambani wakati hawajui pa kuuzia mazao yao, wakati huohuo wanasiasa wanapigana vikumbo kwa waganga wa kienyeji ili kupata nafasi za kuitwa viongozi pasi na kujua wanaongoza nini hasa?
 
Badala ya kupoteza KODI zetu kwenye mambo yasiyo ya msingi kama maandamano, ni bora muhamasishe watanzania wafanye kazi kwa bidii.

Maendeleo yanaletwa na kazi na siyo maandamano.

Wafanye kazi kwa bidii na mapato muibe mkajenge nyumba za vigae ufukweni? tumia hata busara kidogo. unafikiri watu hawafanyi kazi? na pia, kazi zi wapi?
 
Nini faida ya MAANDAMANO haya, nchi hii ni maskini watanzania wanatakiwa kufanya kazi kwa bidii na si maandamano.
Fanya wewe tuone mafanikio yako. alahhhh!. Tumefanya kazi weeeee miaka yote na tunaliwa kilaini na wajanja wachache na sasa mnakuja na ujinga wenu eti tufanye kazi? Fanya peke yako. Kwanza nyie hamna kazi yoyote zaidi ya kuibia watanzania na kutanua. Wewe unafanya kazi gani? Grrrrrrrrrrrr
 
Niponipo..................Pole kwa kutojua faida ya maandamano....angalia Tunisia,Misri na sasa Libya utajua faida yake....wale nao ni maskini kama sisi,walichoka kama sisi,wakachukua hatua.....
 
Katika nchi nyingi sana serikali si mwajiri mkuu, ila Tanzania Serikali ni mwajiri mkuu tena kwenye nafasi za hovyohovyo zinazolipwa kwa mabilioni ya fedha za kodi yetu kama ukuu wa mkoa, wilaya, ukurugenzi wa halmashauri.

Mkuu hata CDM hela wanayotumia hovyohovyo kwenye maandamano ni fedha wanayopewa na serikali kama ruzuku, na pesa hiyo ni kodi yetu watanzania, ni busara kama kodi yetu ikitumika kwa manufaa ya taifa, na si maandamano.
 
Kwanza si kweli kwamba watz ni wavivu,sisi ni wachapakaz wazuri,nenda Big four regions ukaone watz wanaji2ma,hata nchi nyingi za southern africa wanaochangia maendeleo ni watz,nenda Botswana n Namibia,tatizo cc 2na VIONGOZI wasiowajibika,mbolea haitolewi kwa wakati,ikitolewa kwa upendeleo wa itikadi wa vyama,dawa za pamba zimeexpire,barabara mbovu,wakulima kukopwa na janga la UMEME,.mimi na amini ya kwamba MTAJI WA MASIKINI NI SERIKALI YAO!
 
mod, naomba ruhusa nimchafue huyu bado niponipo kashaninyima usingizi kwa maneno yake ya kisenge-nyaji! *@#$*<> zake
 
Niponipo..................Pole kwa kutojua faida ya maandamano....angalia Tunisia,Misri na sasa Libya utajua faida yake....wale nao ni maskini kama sisi,walichoka kama sisi,wakachukua hatua.....

Yale ni MAANDAMANO, haya ni MATEMBEZI kabla ya hotuba.

Tuache siasa tufanye kazi kwa bidii, maendeleo hayaletwi kwa maandamano.
 
Back
Top Bottom