kweli wabunge wa CCM vihio kuliko kawaida.

LOOOK

JF-Expert Member
May 17, 2011
3,389
674
inatia aibu kwa serikali hasa wabunge wanawake wanao dai wapewe nafasi halafu wanalitumia bunge kama sehemu ya mipasho kweli nimeamini wabunge wa CCM hakuna wa afadhari na haya ni madhara ya kupeana ubunge kisa tu una hela hata kama huna elimu shame on CCM.kweli CCM 1000 ni sawa na chadema 1 .
 
Back
Top Bottom