Kweli vizuri havidumu!! Pumzikeni kwa amani mashujaa wetu!! Wazalendo wa kweli...

Asante kwa jibu lako mujarabu kabisa hivyo wanaomsema yeye alisababisha hali fulani wanakosea na lawama zao wazipeleke kwa mkuu wake


Mkuu niliposema alileta shida nchini nilimaanisha yeye na serikali ambayo yeye ndo alikuwa kiranja mkuu pamoja na mkuu wa nchi..

Kwanza mm huwa napingana sana na jinsi Mwalimu alivokuwa anaendesha nchi...sema tu sasa alishaonekana mtakatifu kwa hyo kumpinga hadharani lazima uwe na akili ya mwendawazimu
 
Mazuri ya Utawala wa Nyerere hupewa Nyerere Mwenyewe na Yale Mabaya ya Utawala wake husukumiwa Mawaziri Wake. Kwa Kiswahili huu unaitwa Unafiki


Samahani hivi kati ya rais na waziri mkuu nani mkubwa?

Mkuu mbona jibu rahisi tu ni rais...ila ukiona waziri mkuu anafanya kitu fulani na rais anamkalia kimya basi elewa kitu hcho kina Baraka Zote za rais
 
11 Reactions
Reply
Back
Top Bottom