Galamtogela
Senior Member
- Aug 25, 2013
- 102
- 27
Ukifika ni mahari panapo ibukia kimaendeleo .kuna kahawa kwa wingi kama zao la kibiashara .nauli kutoka songea ni tsh 4500/= shida ya huku ni moja uchawi yaani sayansi ya kiafrika nawo wamo huku wanashinda na majirani zao wapya wilaya mpya ya nyasa .visa ni vingi vya nduma . Barabara JK amekwahuku amejitahidi ipo kampuni ya kichina ndio wanamaliza inaitwa SYNOHYDRO. Watu wa huku wanapiga pombe., balaaa kitimoto ni kama mbuzi tu .karibu ni mbinga