Simu yangu haina dola ningekupigia.Zinaitwa dola tano, kulikuwa na msemo "huna dola wewe"
Kama kuna kipind ma kampun ya simu yalipata faida kubwa ilikua muda wa hzo vocha aisee
Zamani hiyo ndio nilikuwa main business, lakin kwa sasa hiyo ni biashara ndogo sana kwao.Kwa kweli ilikuwa biashara nzuri. Nilikuwa natoka Tanga nazifata Dar - Shivacom. Sasa hivi makampuni ya sim yameamua kutuibia tu vimia mia vyetu
Kwa kweli ilikuwa biashara nzuri. Nilikuwa natoka Tanga nazifata Dar - Shivacom. Sasa hivi makampuni ya sim yameamua kutuibia tu vimia mia vyetu
maisha yanaenda kasi sana sasa hivi faida yake sidhani kama inazidi 100.Umenikumbusha ... zilikuwa zina faida ya 500 kwa kila unapoiuza....nilitengeneza pesa
dah kweli watu tulikuwa hatutofautishi deep na beepSikuwa na dola ndio maana nilikudeep.