NAMUOMBA hapa jamvini mtela mwampamba,sixgates,lizaboni.nape nauye na wale wote wanaomtetea JK na safari zake zaidi ya 380 tangu awe rais,jk na ccm wenzako hakika mtalaaniwa nyinyi na vizazi vyenu maana mtu anapo shinda kuimarisha elimu ana nia mbaya na kizazi chako chote,na sisi tunawaombea mpate laana enyi mafisadi mnaosababisha ndugu zetu wasipate elimu bora