Mchizi
JF-Expert Member
- Apr 23, 2009
- 2,619
- 6,054
Kwa hiyo wakikimbilia chadema wanapata Kinga ya kutoshtakiwa? Bora mnyamaze kimya tu. Mahakama yenu ya mafisadi ya kazi gani kama kuwashtaki mmeshindwa? Na hao mliobaki nao kina chenge pia hamuwawezi?Si wanakimbilia chadema, huwajui na chadema ilikuwa inawaita mafisadi.
Nikukumbushe kwa video?