Chilisosi
JF-Expert Member
- Oct 19, 2008
- 3,051
- 747
tatizo unatoa mapovu mno kaka, mie sijakataa kuwa huyu mtu ana hela ila sikubaliani na thamani ya gari alilotaja, gari lake ni la 2004 na unaweza kupata hata kwa £25,000 kumbuka mie sijasema nina hela kama mosha. nimepinga thamani, narudia tena jamaa ana hela ila thamani ya gario kadanganya mafala kama wewe, hebu nenda autotrader uone beiAchana nae mzushi tu huyo nyumbani kwake hapo
hizo ni councel flat ambazo zipo moja ya deprived areas in london (mitaa ya dagenham hiyo ndio mitaa wabongo weengi wapo huko).
By the way chilisosi toa post code yako.