Kweli Tanzania hakuna Pesa?: Huyu ndiye Mtanzania anaemiliki Gari la Tsh Bilioni Moja

Kitu kinachokushindwa kuelewa ni kuwa magari hayo yanapokuwa ya mtumba yanakuwa ni rahisi sana, kama unabisha "google" halifiki kabisa bei hiyo usitake kuchakachuwa.

Hivi kwanini mnapenda kusema uongo?

Wasikusumbue kichwa chako kabisa bwana zomba!!mijitu ya CCM ndivyo ilivyo miongomiongo na kuchakachua ndiyo zao,
 
Ingekuwa enzi za Mwalimu tungemchunguza huyu kijana kazipata wapi! Ila sasa Mmh! inabiti tumwache tu aenjoy pesa zake, wengine wabaki kumsifia.
 

Kiukweli hiyo ni gari nzuri na ni gari ya gharama, ila sio kweli kuwa hiyo ndio most expensive hapa bongo!,
Nimeona kuna mtu ana Bugati, kuna mtu ana Ferrari, kuna mtu ana Carrera, kuna mtu ana Mc Laren!. Bongo nasi tupo tupo, umasikini uliotopea ni kwa wengi wetu na utajiri uliotukuka ni kwa wachache wetu.

Ngosha, unamaanisha kama hilo juu Bugatti Veyron?! Mtu analo bongo?! Kama ndiyo, wabongo ni 'balaa'.
Mh! Maana unyamwezini hata kina Diddy et al. wengi wanayafanyia shooting tu ngosha!!
Ngosha hizo gari toka zianze kutengenezwa mwaka 2005 hadi mwaka jana, zilikuwa zimeuzwa 300 tu dunia nzima!
 



“HII sasa ni kufuru!” Hivi ndivyo utakavyoweza kusema kwa Davies Mosha ambaye ni makamu mwenyekiti wa zamani wa klabu ya Yanga, ambaye nafasi yake kwa sasa klabuni hapo inashikiliwa na Clement Sanga.


Kwa tafsiri ya haraka, yawezekana Mosha anaweza kuwa ndiye kiongozi pekee wa soka nchini kumiliki gari la kifahari na lenye gharama kubwa aina ya Lamborghini kama ambalo linamilikiwa na mshambuliaji wa Manchester United, Wayne Rooney.​


Gari analomiliki Mosha ambalo lina rangi ya njano, linaaminika kuwa miongoni mwa magari yenye thamani kubwa siyo tu Tanzania na Afrika, bali duniani kote, kwani hata siku Rooney alipolinunua wenzake wengi hawakutegemea, siyo kwa sababu hana fedha, ila kwa kuwa hakuwa mtu wa matumizi ya magari yenye thamani kubwa kama hilo.​


Mosha ameliambia Championi Ijumaa kuwa anamiliki magari kadhaa ya kifahari kwa matumizi yake binafsi na familia yake.​



Yafuatayo ni maelezo kuhusiana na gari hilo la kifahari kwa kuanzia kiwango cha mafuta na usumbufu anaoupata akiwa katika mizunguko yake.


Ameinunua kwa bei gani?



“Kutokana na ubora wa gari hili, nililazimika kutoa shilingi bilioni moja kwa ajili ya kulinunua, kama unavyojua ni fedha nyingi, nimenunua kwa mapenzi yangu.



Alipolinunua



“Hili gari kaniuzia mtoto wa Bakhresa (Yusuph), baada ya kufikia makubaliano kati yake na mimi, aliniuzia Julai 2011.


Spidi ya gari



“Hili gari kasi yake ya mwisho ni 360, ni kasi kali na inatosha kwa matumizi yangu binafsi.



Matumizi ya mafuta



“Matumizi ni ya kawaida wala siyo ya kuogopesha sana, inategemea na umbali utakaotembea.

Usumbufu anaoupata


“Usumbufu mkubwa ninaoupata kiukweli, nikiwa naendesha barabarani, madereva wengine wanalishangaa sana, hali inayosababisha kutokea ajali au msuguano mara kadhaa.

“Hivi karibuni dereva mmoja aliigonga sehemu ya tairi la nyuma kushoto kutokana na kuishangaa, ilikuwa maeneo ya Masaki hapahapa Dar es Salaam.


“Matengenezo yake yaligharimu pauni 20,000 (zaidi ya shilingi milioni 50), hali iliyosababisha niwe makini nikiwa naendesha,” anasema Mosha.



“Matengenezo yake yaligharimu pauni 20,000 (zaidi ya shilingi milioni 50), hali iliyosababisha niwe makini nikiwa naendesha,” anasema Mosha.













Why bring it here?
 
Acheni choyo kama na nyinyi munataka gari kama hiyo nendeni mbiyo kimaisha mutaipata. Mwenzenu amekwenda mbio sana na maisha . Amejaaliwa. Na nyinyi ombeni Mungu.
 
JF sio sehemu ya porojo wakuu...

LAMBORGHINI - GALLARDO COUPE SPECIAL EDITION (LP 560-4 BiColore 2dr E Gear)

£124,500

new_image_1.jpg



y (Lamborghini Gallardo)

The Manchester United player may only be 22 years old, but he can already afford treats like the $200,000 Lamborghini Gallardo. And according to the gossipy British tabloids, he has already gone one further, putting an order in for a $340,000 Lamborghini LP640 Murcielago.

 
JF sio sehemu ya porojo...
Bugatti Veyron $1,700,000

The Bugatti Veyron 16.4 is the most powerful, most expensive, and fastest street-legal production car in the world, with a proven top speed of over 400 km/h (407 km/h or 253 mph). It reached full production in September 2005. The car is built by Volkswagen AG subsidiary Bugatti Automobiles SAS and is sold under the legendary Bugatti marque. It is named after racing driver Pierre Veyron, who won the 24 hours of Le Mans in 1939 while racing for the original Bugatti firm. The Veyron features a W16 engine-16 cylinders in 4 banks of 4 cylinders.


Click to enlarge​


According to Volkswagen, the final production Veyron engine produces between 1020 and 1040 metric hp (1006 to 1026 SAE net hp), so the car will be advertised as producing "1001 horsepower" in both the US and European markets. This easily makes it the most powerful production road-car engine in history.

Ferrari Enzo $1,000,000



Click to enlarge​


The Enzo Ferrari, sometimes referred to as the the Ferrari Enzo and also F60 is a 12-cylinder Ferrari supercar named after the company's founder, Enzo Ferrari. It was built in 2003 using Formula One technology, such as a carbon-fiber body, F1-style sequential shift transmission, and carbon-ceramic brake discs. Also used are technologies not allowed in F1 such as active aerodynamics. After a maximum downforce of 1709 pounds (775 kg) is reached at 186 mph (301 km/h) the rear spoiler is actuated by computer to maintain that downforce.

Pagani Zonda C12 F $741,000



Click to enlarge​


The Zonda C12 F debuted at the 2005 Geneva Motor Show. It is the most extensive reengineering of the Pagani car yet, though it shares much with its predecessors including the 7.3 L V12. Power is increased to 602 PS (443 kW/594 hp) with a special clubsport model producing 650 PS (478 kW/641 hp). The company promises a 3.2 second sprint to 60 mph (97 km/h, a top speed over 374 km/h (225 mph) and it will be the queen in braking from 300 km/h to 0 (186 mph to 0). The Zonda F clubsport has a power to weight ratio of 521 bhp/ton (384 W/kg) . Compare, for example, the Enzo Ferrari which has a power to weight ratio of 483 bhp/ton (356 W/kg).

Koenigsegg CCX $600,910



Click to enlarge​


The Koenigsegg CCX is the latest supercar from Koenigsegg. CCX is an abbreviation for Competition Coupe X. The X commemorates the 10th anniversary of the completion and test drive of the first CC vehicle in 1996. The CCX is intended to be more suitable for the U.S. market and thus engineered to comply with US regulations. The CCX is powered by a Koenigsegg designed and assembled, all aluminium, 4700 cm³ DOHC 32-valve V8 based on the Ford Modular engine architecture enhanced with twin Rotrex centrifugal superchargers with response system, 1.2 bar boost pressure and an 8.2:1 compression ratio. The engine produces 806 hp (601 kW) and 678 lbf.ft (920 Nm) on 91 octane (U.S. rating) gasoline, 850 hp (634 kW) on 96 octane (Euro rating) gasoline and 900 hp (671 kW) on biofuel.

Porsche Carrera GT $484,000



Click to enlarge​


The Porsche Carrera GT is a supercar, manufactured by Porsche of Germany. The Carrera GT is powered by an all-new 5.7 litre V10 engine producing 612 SAE horsepower (450 kW). Porsche claims it will accelerate from 0 to 100 km/h (62.5 mph) in 3.9 seconds and has a maximum speed of 330 km/h (206 mph), although road tests indicated that in actuality the car could accelerate from 0-60 in under 3.5 seconds and to 0-100 in 6.8 seconds and has a top speed of 335-340km/h (209-212.5mph).

Mercedes SLR McLaren $455,500



Click to enlarge​


The Mercedes-Benz SLR McLaren is a sports car and supercar automobile co-developed by DaimlerChrysler and McLaren Cars. It is assembled at the McLaren Technology Centre in Woking, England. Most people presume "SLR" to stand for "Sportlich, Leicht, Rennsport" (German for "Sport; Light; Racing"). The car's base price is £300,000 or $455,500. The SLR has a supercharged 5.5 (5439cc) litre dry sumped 90 degree V8. It produces 466.8 kW at 6500rpm (626 hp) and 780 N·m (575 ft·lbf) torque at 3250 - 5000 rpm.

Maybach 62 $385,250



Click to enlarge​


The Maybach 57 and 62 were the first automobile models of the Maybach brand since the brand's revival by DaimlerChrysler. They are derived from the Mercedes-Benz Maybach concept car presented at the 1997 Tokyo Motorshow (which was based on the Mercedes-Benz S-Class sedan). DaimlerChrysler attempted to buy the Rolls-Royce/Bentley marque when Vickers offered the company up for sale. When this attempt failed (they were outbid by BMW and Volkswagen respectively) they introduced the Maybach as a direct challenger in 2002. Both models are variants of the same ultra-luxurious automobile. The model numbers reflect the respective lengths of the automobiles in decimetres; the 57 is more likely to be owner-driven while the longer 62 is designed with a chauffeur in mind. The engine is a Mercedes-sourced 5.5-liter twin-turbo V12, generating 550 hp.

Rolls-Royce Phantom $320,000



Click to enlarge​


The Rolls-Royce Phantom is a luxury saloon automobile made by Rolls-Royce Motor Cars, a BMW subsidiary. It was launched in 2003 and is the first Rolls-Royce model made under the ownership of BMW. It has a 6.8 L, 48-valve, V12 engine that produces 453 hp (338 kW) and 531 ft·lbf (720 N·m) of torque. The engine is derived from BMW's existing V12 powerplant. It is 1.63 m (63 in) tall, 1.99 m (74.8 in) wide, 5.83 m (228 in) long, and weighs 2485 kg (5478 lb). The body of the car is built on an aluminium spaceframe and the Phantom can accelerate to 60 mph (100 km/h) in 5.7 s.

Lamborghini Murcielago $279,900



Click to enlarge​


The Lamborghini Murciélago is a GT and supercar automobile made by Automobili Lamborghini S.p.A. and designed by Luc Donckerwolke. It was introduced in 2002 as the successor to the Diablo. The body style is a two door, two seat coupé. The LP640 version was introduced at the Geneva Motor Show in March of 2006. It features a 6.5 L engine, now producing 640 bhp, improving performance substantially. There were also a few minor external changes, primarily to the low air intakes.

Aston Martin Vanquish $255,000



Click to enlarge​


The Aston Martin V12 Vanquish is a supercar manufactured by Aston Martin since 2001. It rose to fame after being featured as the official James Bond car in Die Another Day, the twentieth James Bond film. In the film, the Vanquish has the usual Bond film embellishments, including active camouflage which rendered the vehicle virtually invisible. The Vanquish is powered by a 5.9 L (5935 cc) 48-valve 60° V12 engine, which produces 343 kW (460 hp) and 542 N·m (400 ft·lbf) of torque. It is controlled by a fly-by-wire throttle and a 6 speed 'paddle shift' or semi-automatic transmission. A special V12 Vanquish S debuted at the 2004 Paris Auto Show with the power upped to 388 kW (520 hp) and 577 N·m (426 ft·lbf).
 
Uki-Google Davies Mosha, utapata habari kumhusu huyo jamaa Mjasiriamali. Anamiliki hii kampuni www.delinagroup.com Profile yake hio hapo: Davis Mosha lives a fulfilling life by doing what he loves best: business, rallying and football. He is an entrepreneur, a rally driver and owns a football club in Tanzania, his motherland.
Which club, Young Africans?!?
 
Mama mdogo,

Bei ya Bugatti Veyron ni kubwa zaidi ya hiyo. Wengine wanasema ni zaidi ya Milioni kumi US $.

Kiwanda cha VolksWagen (People's Car) huwa wanatengeza ili kuonyesha UBABE kuwa wakitaka, wanaweza.

Hupunguza bei kwa makusudi ili watu wanunue kirahisi ikiwa na maana wanauza kwa hasara.

Hii hupelekea KAMPUNI na MASHIRIKA yote duniani KUGOMA kutoa BIMA ya aina yoyote kwa hili gari. Wanagoma kwa sababu ukitaka kuweka bima, utasema umenunua kwa hiyo bei wakati likiharibika, wanaenda pambana na Spare parts ghali mara tano ya bei hiyo.

Ndiyo maana wananunua watu ambao pesa kwao si tatizo. Pia ulaji mafuta wa hii Veyron si mzuri kabisa kwani linafikisha hadi zaidi ya 500 Horse Power, nguvu inayotosha kuzalisha umeme wa kutumika hapa Sikonge pote.

Mmh! H.P. 500? Mh. Sikonge nadhani umekosea! Sasa hiyo Wilaya ya Sikonge itakuwa kama kajiji fulani hivi ambako hakafikishi hata Maximum Load below 1MG (MeggaWatt)?
 
Hawa ndo wanaochanganya mafuta na maji ili wamaximize profit!
Kama humjui huyu jamaa ndio operation manager wa Riz KKT anasimamia na hoteli anayoijenga hapa kibaha mbele ya mail moja pia kuna kituo cha mafuta na figure ya twiga na nyati so bado ni ufisadi uleule wa JK+Riz=mosha
 
Ngosha, unamaanisha kama hilo juu Bugatti Veyron?! Mtu analo bongo?! Kama ndiyo, wabongo ni 'balaa'.
Mh! Maana unyamwezini hata kina Diddy et al. wengi wanayafanyia shooting tu ngosha!!
Ngosha hizo gari toka zianze kutengenezwa mwaka 2005 hadi mwaka jana, zilikuwa zimeuzwa 300 tu dunia nzima!
Wabongo wee waache tuu, kuna mtu namfamu hapa hapa bongo, anamiliki cruise ship, anamiliki jet, na yuko very low profile ndugu zake ndio matanuzi na kujitapa kutwa kucha!. Huyo mwenye Bugati sio hiyo Veylon bali ni Mama mmoja wa Kiarabu, mwenye Ferrari ni yule mhindi wa rada, Mwenye McLaren ni mswahili mwenzetu!. Bongo tuna tajiri wetu mmoja anayependwa kujatwa tajwa sana kwenye nyimbo, huku amejisheheneza kwa micheni kibao na mipete ya almasi, ile Hummer zimetoka tuu akanunua, walipotoa latest version, akanunua tena na walipotoa hii version ya sasa, kanunua tena, anazo 3 ili kuonyesha jeuri ya utajiri!. Wakati hao wakionyeshea, wako matajiri wa ukweli, wanamiliki mpaka visiwa!, wamejinyamazia kimya kabisa na account zao ziko Credit Sussie zimejituliza tuli!.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom