minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 21,640
- 20,366
Bora Mosha kaamua kutumia pesa zake hapahapa TZ kuliko wale wanaowatajirisha wazungu huko Uswiss! na huko visiwa fulani wanaviita vijisenti sijui watazitumia wakifa?
Pengine hajanunua bilioni yawezekana ameongeza sifuri sifuri mbele ili kuwakoga tu