Kweli Tanzania bdo kabisaaaa katika soka!!!

Travis samwel

JF-Expert Member
Apr 25, 2013
215
42
Wakat Nchi nyingne za wenzetu wakiwekeza katika soka cc huku kwetu bdo kabisaaaa nasema hvyo kwa sababu ukiangalia katika mechi ya jana kati ya Taifa star na Ivory coast jezi wa wachezaji wa Taifa star hasa fulana zao sehem ya kora utaona kuwa ni nguo zinazovaliwa sana na wachezaj hawa kwan maaana baada ya mechi basi hufuliwa na kuwekwa kusubiria mechi nyngne, kama jezi za Timu ya Taifa tu zinatushinda je kwel tunaweza kuwekeza ktk soka jamaniiiiiii???? Nawasilisha kwenu wadau
 
download+(41).jpg
 
Back
Top Bottom