Umaarufu wa Pole pole ulikuja kutokana na umahiri wake kifikra na namna ya ujengaji hoja wake ulivyokuwa makini na ukweli ambao watu wengi sana duniani hupenda kusikia. Hili lilidhihirika wakati wa mchakato wa kuunda katiba mpya na kuanzia hapo ndipo Pole pole alianza kujulikana. Kabla ya hapo hakuna aliyekuwa anamjua Pole Pole. Kwa hiyo sifa kuu ya Pole pole wa Enzi za katiba Mpya ilikuwa ni Ukweli.
Pole pole wa Leo Amebadilika kabisa. Ameamua kuwa mfuasi wa uongo, lakini cha Ajabu ukimtizama ktk hotuba zake, ile body language, unamuona kabisa ni Kama mtu asiye na raha moyoni. Hata akiongea ni Kama anapayuka payuka tu. Anaonekana Kama mtu aliyepoteza vitamini fulani ktk mwili wake. Hata ukiona anavyowahutubia watu ni Kama watu wanamshangaa badala ya kumshangilia.
Ndugu Bashiru Katibu mkuu ndiyo kabisa. Huyu ni mtu Mcha Mungu wa Kweli. Na anajua kabisa uongo ni dhambi na Chukizo Kwa Mungu. Huyu mpaka sasa bado hatabiriki, labda kwa sababu bado ni mgeni au bado hajaamua kudanganya wazi wazi, lakini kwa Mimi ninavyoona na kwa namna ninavyomjua huyu Bwana ktk Misimamo yake, huwa siyo mtu wa kubadilika kabisa.
Hata ukiangalia body language ya huyu Bashiru ni Kama hata hicho cheo alichopewa ni kama amelazimishwa tu kwa Sababu anajua Mwisho wa Siku lazima Ageuke na kuwa Mfuasi wa Shetani wakati sasa hivi ni Mfuasi wa Mungu.nilimuona Jinsi alivyomshukia Makonda kule Kilimanjaro wakati wa mazishi ikanipa picha kubwa sana.kwa sababu Kwa ninavyojua ktk Nchi hakuna Mwenye uwezo wa kumkemea Makonda. Hata JPM mwenyewe Hana uwezo wa kumkemea. Lakini ni Dhahiri Makonda anamuogopa Bashiru kuliko JPM .
Haya mambo madogo madogo yanayotokea Kati ya Kachero Membe na Bashiru, Nina Imani ni ya muda tu, na hata ukiangalia kwa makini utaona kabisa hakuna popote Bashiru aliwahi kumtaja Membe moja kwa moja zaidi ya mafumbo tu. Na ni dhahiri Bashiru anajua kwamba Membe Hana kosa lolote kikatiba ya chama iwapo ataamua kugombea 2020. Tabia ya mtu ni Kama ngozi ya mwili mwili wake. Kuibadili ni kazi kubwa sana. Ukilazimisha, ndiyo unapata matokeo kama ya Polepole, kutoka kuheshimiwa hadi kuwa Kama kituko ktk jamii.
Pole pole wa Leo Amebadilika kabisa. Ameamua kuwa mfuasi wa uongo, lakini cha Ajabu ukimtizama ktk hotuba zake, ile body language, unamuona kabisa ni Kama mtu asiye na raha moyoni. Hata akiongea ni Kama anapayuka payuka tu. Anaonekana Kama mtu aliyepoteza vitamini fulani ktk mwili wake. Hata ukiona anavyowahutubia watu ni Kama watu wanamshangaa badala ya kumshangilia.
Ndugu Bashiru Katibu mkuu ndiyo kabisa. Huyu ni mtu Mcha Mungu wa Kweli. Na anajua kabisa uongo ni dhambi na Chukizo Kwa Mungu. Huyu mpaka sasa bado hatabiriki, labda kwa sababu bado ni mgeni au bado hajaamua kudanganya wazi wazi, lakini kwa Mimi ninavyoona na kwa namna ninavyomjua huyu Bwana ktk Misimamo yake, huwa siyo mtu wa kubadilika kabisa.
Hata ukiangalia body language ya huyu Bashiru ni Kama hata hicho cheo alichopewa ni kama amelazimishwa tu kwa Sababu anajua Mwisho wa Siku lazima Ageuke na kuwa Mfuasi wa Shetani wakati sasa hivi ni Mfuasi wa Mungu.nilimuona Jinsi alivyomshukia Makonda kule Kilimanjaro wakati wa mazishi ikanipa picha kubwa sana.kwa sababu Kwa ninavyojua ktk Nchi hakuna Mwenye uwezo wa kumkemea Makonda. Hata JPM mwenyewe Hana uwezo wa kumkemea. Lakini ni Dhahiri Makonda anamuogopa Bashiru kuliko JPM .
Haya mambo madogo madogo yanayotokea Kati ya Kachero Membe na Bashiru, Nina Imani ni ya muda tu, na hata ukiangalia kwa makini utaona kabisa hakuna popote Bashiru aliwahi kumtaja Membe moja kwa moja zaidi ya mafumbo tu. Na ni dhahiri Bashiru anajua kwamba Membe Hana kosa lolote kikatiba ya chama iwapo ataamua kugombea 2020. Tabia ya mtu ni Kama ngozi ya mwili mwili wake. Kuibadili ni kazi kubwa sana. Ukilazimisha, ndiyo unapata matokeo kama ya Polepole, kutoka kuheshimiwa hadi kuwa Kama kituko ktk jamii.