Twite alikuwa asajiriwe na Simba ila Yanga akapindua kibao. Mkuu, kwa taarifa yako mie SI mwachama wa timu yoyote hapa ila sasa NASHABIKIA timu ya Azam.
Bahtez, Kelvin Yondani, Mbuyi Twite, Husein Javu, Dan Mranda, Mrisho Ngasa na Amis Tambwe. Hawa waliichezea timu ya Simba hivo wanafahamika mapungufu yao ndio maana ni rahisi Yanga kufungwa na Simba?
Muulize Jenny Muro.
Muro anasema lile goli halikufungwa na Okwi ni km kuna kitu kilikuja kikauchukua mpira na kuutupia golini!
mtoto siye na mtawajua kwa matendo yao................Muulize Jenny Muro.
Mkuu, nilitaraji ungekumbusha na Juma Kaseja ila kwa kuwa umekasirika hata mantiki ya post yangu huitafakari kwa kina. Huu ni mfano tu wa timu moja kuwa na wachezaji zaidi ya watatu toka timu pinzani kwenye mechi hii inaleta hisia tofauti hasa kwa fitina za soka letu.We jamaa mchemfu sana..umesema twite alicheza Simba..baada ya kubanwa oooh alikua sajiliwe simba akageuza kibao..kingine hussein javu sidhan km aliisha cheza simba..halafu hiyo assumption uliotoa sio ya kweli..Yanga wamefungwa kwa kutokucheza vizur..na hawakutumia nafas walizopata
Mpira una matokeo matatu, kufunga, kufungwa na draw
Tatizo sisi yanga ni nadra sana kupata ushindi na sare kutoka kwa simba. Mara nyingi tunapata matokeo ya aina moja tuu. Kufungwa ona zile tano zikaja tatu zikaja mbili ikaja moja na ile ya juzi tena dah sijui tutakua wageni wa nani sisi jamani
Tatizo sisi yanga ni nadra sana kupata ushindi na sare kutoka kwa simba. Mara nyingi tunapata matokeo ya aina moja tuu. Kufungwa ona zile tano zikaja tatu zikaja mbili ikaja moja na ile ya juzi tena dah sijui tutakua wageni wa nani sisi jamani
Tatizo lenu mnaingia uwanjani mkijua mmeshashindahamchezi kiteam angalia mlizidiwa mnaanza kutumia mbio tu,msuva kila akidrive ndefu inanaswa....mkaanza kutumia uwezo binafsi
Jerry muro timu ya dalasa alikua mbeba vifaa,hadi.timu ya dawati la watu 3 alikua anasugua benchi et leo anakua msemaji...........
Dalasa-darasa