mjasiliaupeo
JF-Expert Member
- Apr 21, 2013
- 2,151
- 3,066
Hii video inaonyesha vizuri zaidi, hapo kapombe kasukumwa.
baada ya goli kukataliwa akaenda kumshika kapombe kama fair play ,jamaa alimsukuma kapombe kiakili sanaachana na video , fuatilia mahojiano na yule mchezaji wa geita. Alikiri alimsukuma lkn siyo kwa nguvu sana. Alimsukuma kidogo.
Hayo ndiyo majibu , mengine yote porojo tu. kapombe alisukumwa.
Asante mkuu, credit kwa mwamuziView attachment 2030859
Hii video inaonyesha vizuri zaidi, hapo kapombe kasukumwa.
kitenge kaweka clip Instagram ,kapombe aliporuka mbali kusukuma kuna namna jamaa alikanyaga kapombe wakati anarukaUnaelewa kilichoandika au unajawa na mahaba ya utimu. Narudia tena hakuna clip ya video inayoonesha kuna physical contact yoyote ile, unazosemea wewe ni picha picha tu. Kama wewe una ushahidi wa video naomba niwekee hapa. Inamaana bila mchezaji mwenyewe kukiri tuzingepata ushahidi mwingine kutoka kwa Azam Tv. Kuna mapungufu upande wa camera za Azam hazichukui matukio katika angle zote
Na watu na namns hiyo ndio wamejaa Yanga.Kwa namna alivyoanguka jana kapombe, ni mtu mwenye matatizo ya akili tu ndo atasema kuwa kajiangusha ..
Ukwel mchunguIwe kweli ama uongo,
Jana simba imecheza kama team ya mchangani, coach alimuongeza mzamiru na nyoni team ipate balance katikati ndo kwanza waliendelea kupwaya.
Onyango jana aliku hovyoo saana. Kama Simba wanataka kurudi kwenye kiwango ni wakati sasa wa kuwaacha Erasto Nyoni, Bocco, Mzamiru,Onyango, Wawa,Gadiel,Ajibu.
Kapombe asiwe wa kutegemea atafutiwe mbadala mwenye uwezo mkubwa.
Apatikane na striker mzuri nje ya hapo tutajifariji ila hao wachezaji viwango vyao vimegota.
.View attachment 2030859
Hii video inaonyesha vizuri zaidi, hapo kapombe kasukumwa.
Kwamba baada ya kuhojiwa hapa hakufanya mahojiano mengine tena?Amekiri wapi? Naomba link tafadhali maana hapa chini huyu jamaa kasema kua alifunga goli likakataliwa huku akiwalaumu waamuzi wa nchii hii akiwaita ni tatizo.
kwa hiyo wachezaji wapo waliozaliwa kuanza first eleven milele na wapo waliozaliwa kuanzia benchi milele? Jamani tuwe tunaandika kama Great ThinkersEti sasa hvi Benard ndiyo silaha tegemezi wakati mwaka jana alikua mtu wa kusugua Sub
Kama suala liko hivi, basi Azam TV wajitahidi kuwa na kamera za kutosha ili kumudu kuchukua picha za matukio kutoka pembe zote.achana na video , fuatilia mahojiano na yule mchezaji wa geita. Alikiri alimsukuma lkn siyo kwa nguvu sana. Alimsukuma kidogo.
Hayo ndiyo majibu , mengine yote porojo tu. kapombe alisukumwa.
Tafsiri inabaki pale pale kiwango kimeshuka hata ajib nae anaanza!kwa hiyo wachezaji wapo waliozaliwa kuanza first eleven milele na wapo waliozaliwa kuanzia benchi milele? Jamani tuwe tunaandika kama Great Thinkers
Tafsiri inabaki pale pale kiwango kimeshuka hata ajib nae anaanza!
Wewe acha kujichanganya.Simba msimu huu inawachezaj weng wabovu.Hata usajil mpya.Ni mchezaj gan mpya angeanza kwa perfomance ya wachezaj wa simba wa msimu uliopita?Shomari kapombe hawezi kujiangusha kitoto vile!! mchezaji aliyemsukuma amekiri kuwa kweli alimsukuma ila anadai eti hakumsukuma kwa nguvu! DUH!
Waandishi, wachambuzi hata wadau wa mpira wengine ni wapenzi wa SIMBA wamekuwa against mwamuzi na simba!! Kisa wanataka ku- balance ile penalty aliyopewa Yanga dhidi ya Namungo.
Nadhani mada hapa ingekuwa ni kuwahoji Azam TV ambao wanashindwa kuleta picha zinazo onyesha angle nzuri ambazo zingeweza Kuzuia MABEZO na MAKEJELI haya yote toka kwa watu ambao hawaitakii mema SIMBA.
NimewahiHivi mtu hawezi ku improve perfomance yake? Mbona hii iko kila mahari hata makazini? Unataka kutuambia wewe maisha yako yote hujawahi kuwa katika kiwango kibovu cha kazi zako unazofanya?