Kweli pesa inatakatisha,huu ndio muonekano wa sasa wa STIVE(shabiki wa yanga)

PROF NDUMILAKUWILI

JF-Expert Member
Mar 25, 2016
10,521
13,110
Huyu kijana alijizolea umaarufu miaka ya nyuma kutokana na tabia yake ya kulia lia sana pale timu yake ya Yanga ilipokuwa ikipokea kichapo alikuwa anashindwa kabisa kujizuia vile vile alihangaika kushiriki kwenye mashindano ya bongo star search lakini hakupata nafasi.
Hii picha kipindi analia baada ya yanga kupokea kichapo
7a712739b1e8ba57da82f0d553d5795c.jpg
hapa kipindi anatafuta nafasi bongo star search
96ad95191c217ca96164584e8201e382.jpg
1e422b09aef8b56981b57bf5bde381bb.jpg
505eae795fe09efbccfa1f7dd44956c2.jpg

Huu sasa ndio muonekano wa sasa baada ya kula kitengo pale AZAM na yanga kawahama kabisa
91370cf522eb3e225c4a471b8cdad8f7.jpg
34cda0ab0c3198ef31504b0fee3adc9b.jpg
5ea4eb4392f5cf9fd853cf22824eb198.jpg

NB:jamaa mwanzoni alionekana kama kituko sasa hivi kala kitengo hata harmorapa akiendeleza janja janja za kiki atatusua tu siku moja.

-Ndumilakuwili-
 
Back
Top Bottom