wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,226
- 37,570
Pia nazo Zina Hayo mafructose chief?Hongera Mkuu, kwa kuachana na matumizi yasofaa ya soda..
Pia nazo Zina Hayo mafructose chief?Hongera Mkuu, kwa kuachana na matumizi yasofaa ya soda..
Daaa, kitu cha Fructose yaani, aiseeePia nazo Zina Hayo mafructose chief?
Job na mazuzu wenzake wanatakiwa kupitisha sheria ya kuwaua wapigaji wote wa NyetoUnaijua punyeto wewe
Hongera sana. Mimi hata sikumbuki nimekunywa soda mara ya mwisho lini? Na nimezoea naona kawaida tu. Ukiamua inawezekana.Mara ya kwanza nilipojaribu nile chakula bila kunywa soda niliona maisha magumu sana, chakula hakishuki, sina hamu ya maji wala juisi ya matumda wala chochote kile, yaani natamani soda tu, hapa ndipo nilipogundua kumbe hii ni shida, ni kama madawa ya kulevya, nina mashaka kuna kitu wanaweka mule, hii si kawaida.
Mkuu na bia je? Au ndio imekua substitutional hahaHongera mkuu, tuendelee kupeana moyo, tutafanikiwa na hii kadhia, nimejidhatiti kweli kweli
😂😂, sumu hizo achananeni nazoHuku kijijini kwetu karibu na Ifakara soda zimeadimika inakimbilia wiki ya pili sasa, sijajua tatizo ni nini kwa haya makampuni yetu. Kama yupo yoyote anajua basi atujuze!
Zina nini hizo braza?, sumu hizo achananeni nazo
Wanadai zina sukari ya Fructose sawa na vijiko10 vya sukariZina nini hizo braza?
QmmkoAddiction ni kila mahali, mm siwezi kulala bila kuona hata nembo ya CCM, yaani CCM imejaa rohoni na moyoni, nikisikia mtu anaisema vibaya CCM moyo unaniuma sana, sbb nimezaliwa nayo na nimekulia nayo. Ndio maisha yangu, bila CCM Imara nchi yetu ingeyumba sanaa huenda leo tungekuwa kama nchi za waafrika wenzetu, vita kila kona, CCM daima na milele, Mungu nisaidie, Amen.
😂😂😂🔥🔥Qmmko