Kweli nimekutana na tapeli wa mapenzi

CHIPANJE

JF-Expert Member
May 1, 2011
321
53
Msichana,niliepanga kufunga nae ndoa na tena anafahamika hadi kwetu,amenifanyia mambo ya ajabu.

Ilinichukua miezi minne tangu nionane nae mara ya mwisho.Tukiwa gest nikakuta kuna namba mbili moja kasevu LOVE na nyingine SWEET.Namba hizi zote ni za mwanamme mmoja anatumia mitandao miwili tofauti.

Nilipomuliza alikiri,na kuomba msamaha mimi nikakubali.

Cha ajabu siku nyingi baadae akanipigia simu kidume wake akanichimba mkwala,na pia alimfosi demu wangu aongee mbele yangu kua hanitaki,kweli alifanya hivyo.Nami nikwamwambia sawa.Hatimaye akanambia nisimpigie simu.Lakini nashangaa yeye ndo amekua wa kwanza kunipigia,kunitumia meseji na kuniomba hela na wakati mwingine anajifanya ananisalimia.Je!Nimjulishe mtu wake?
 
kuna vitu vingine inatakiwa utumie akiliza kawaida kabisa......hupaswi hata kupelekwa chekechea ili ufanye maamuzi ya jambo hili.......kama mwanzo alikiri na kukuomba msamaha, halafu mtu wake akakupiga mkwara na demu wako nae akapigilia msumari......bado unatafuta nini hapo??!!!
 
Msichana,niliepanga kufunga nae ndoa na tena anafahamika hadi kwetu,amenifanyia mambo ya ajabu.

Ilinichukua miezi minne tangu nionane nae mara ya mwisho.Tukiwa gest nikakuta kuna namba mbili moja kasevu LOVE na nyingine SWEET.Namba hizi zote ni za mwanamme mmoja anatumia mitandao miwili tofauti.

Nilipomuliza alikiri,na kuomba msamaha mimi nikakubali.

Cha ajabu siku nyingi baadae akanipigia simu kidume wake akanichimba mkwala,na pia alimfosi demu wangu aongee mbele yangu kua hanitaki,kweli alifanya hivyo.Nami nikwamwambia sawa.Hatimaye akanambia nisimpigie simu.Lakini nashangaa yeye ndo amekua wa kwanza kunipigia,kunitumia meseji na kuniomba hela na wakati mwingine anajifanya ananisalimia.Je!Nimjulishe mtu wake?
sitaki kuamini kuwa aLimfosi huyo demu wako akukatae,ila naamini kuwa huyo demu alifanya hivyo kwa hiari yake mwenyewe baada ya kukubaliana na huyo mr wake mpya,
CHA KUFANYA,WEWE TAFUTA NJIA YAKO,HUYO DEMU ASHAKUONA UNAMPENDA,WAKATI YEYE YUPO NA MWINGINE SO ANATAKA KUKUGEUZA MRADI WAKE,SEPA...
 
Cha ajabu siku nyingi baadae akanipigia simu kidume wake akanichimba mkwala,na pia alimfosi demu wangu aongee mbele yangu kua hanitaki,kweli alifanya hivyo.Nami nikwamwambia sawa.Hatimaye akanambia nisimpigie simu.Lakini nashangaa yeye ndo amekua wa kwanza kunipigia,kunitumia meseji na kuniomba hela na wakati mwingine anajifanya ananisalimia.Je!Nimjulishe mtu wake?

move on she doesn't deserve you..........................you are worth much more than loitering around with fools...............hili la kujibizana na wapumbavu linamaanisha hata wewe una matatizo........................umedhalilishwa lakini bado unajikaza kisabuni....................achana nao wapumbavu hao......................
 
Waliosema usemayo yanakuelezea ulivyo hawakukosea.
OTIS.
 
Msichana,niliepanga kufunga nae ndoa na tena anafahamika hadi kwetu,amenifanyia mambo ya ajabu.

Ilinichukua miezi minne tangu nionane nae mara ya mwisho.Tukiwa gest nikakuta kuna namba mbili moja kasevu LOVE na nyingine SWEET.Namba hizi zote ni za mwanamme mmoja anatumia mitandao miwili tofauti.

Nilipomuliza alikiri,na kuomba msamaha mimi nikakubali.

Cha ajabu siku nyingi baadae akanipigia simu kidume wake akanichimba mkwala,na pia alimfosi demu wangu aongee mbele yangu kua hanitaki,kweli alifanya hivyo.Nami nikwamwambia sawa.Hatimaye akanambia nisimpigie simu.Lakini nashangaa yeye ndo amekua wa kwanza kunipigia,kunitumia meseji na kuniomba hela na wakati mwingine anajifanya ananisalimia.Je!Nimjulishe mtu wake?
Amin amin nakuambia huyo binti hakuwa na chembe hata kidogo ya mapenzi na wewe,alichokuwa anakifanya kwako ni kama ofisi tuu,yaani kuja kukuchuna na kwenda kutumia na mwanaume mwenzako,mabinti wa dizaini hiyo wapo wengi,yaani wanakuwa na mwanaume wanayempenda kweli lkn hana kitu,hivyo wanatumia miili yao kuwatafutia pesa ving'asti wao.Pole sana kaka!!!
 
ujinga mwingine
wanaume tunaukaribisha wenyewe, na mtu akijua huna akili
anaishia kukushika masikio
mkuu hicho ni kicheche tu achana nachon na viko vingi sana humu tunamoishi
mtafute dada yeyote amsemee mbovu kama alivofanya jamaa yake halafu mpotezee jumla
 
Msichana,niliepanga kufunga nae ndoa na tena anafahamika hadi kwetu,amenifanyia mambo ya ajabu.

Ilinichukua miezi minne tangu nionane nae mara ya mwisho.Tukiwa gest nikakuta kuna namba mbili moja kasevu LOVE na nyingine SWEET.Namba hizi zote ni za mwanamme mmoja anatumia mitandao miwili tofauti.

Nilipomuliza alikiri,na kuomba msamaha mimi nikakubali.

Cha ajabu siku nyingi baadae akanipigia simu kidume wake akanichimba mkwala,na pia alimfosi demu wangu aongee mbele yangu kua hanitaki,kweli alifanya hivyo.Nami nikwamwambia sawa.Hatimaye akanambia nisimpigie simu.Lakini nashangaa yeye ndo amekua wa kwanza kunipigia,kunitumia meseji na kuniomba hela na wakati mwingine anajifanya ananisalimia.Je!Nimjulishe mtu wake?

uzuzumagic wako ndio adui wako
 
move on she doesn't deserve you..........................you are worth much more than loitering around with fools...............hili la kujibizana na wapumbavu linamaanisha hata wewe una matatizo........................umedhalilishwa lakini bado unajikaza kisabuni....................achana nao wapumbavu hao......................

Du,ahsnte yan bonge ushauri!
 
ujinga mwingine
wanaume tunaukaribisha wenyewe, na mtu akijua huna akili
anaishia kukushika masikio
mkuu hicho ni kicheche tu achana nachon na viko vingi sana humu tunamoishi
mtafute dada yeyote amsemee mbovu kama alivofanya jamaa yake halafu mpotezee jumla

Poa,kaka bonge faraja umenipa!
 
Chamsingi nikuachana nae,sidhani kama unamda mchafu kama huo wakutafuta mdada mwengine ampigie cm mbona wako wazuri kuliko yeye,na ukimnya wako ndio itakua dawa nzuri zaidi yeye kama mshenzi ww kua mungwana.....
 
na kupewa vipande vyako na huyo mume mwenzako lakini bado unakuja jf kuomba ushauri, looooooooo, why????????????
 
Msichana,niliepanga kufunga nae ndoa na tena anafahamika hadi kwetu,amenifanyia mambo ya ajabu.

Ilinichukua miezi minne tangu nionane nae mara ya mwisho.Tukiwa gest nikakuta kuna namba mbili moja kasevu LOVE na nyingine SWEET.Namba hizi zote ni za mwanamme mmoja anatumia mitandao miwili tofauti.

Nilipomuliza alikiri,na kuomba msamaha mimi nikakubali.

Cha ajabu siku nyingi baadae akanipigia simu kidume wake akanichimba mkwala,na pia alimfosi demu wangu aongee mbele yangu kua hanitaki,kweli alifanya hivyo.Nami nikwamwambia sawa.Hatimaye akanambia nisimpigie simu.Lakini nashangaa yeye ndo amekua wa kwanza kunipigia,kunitumia meseji na kuniomba hela na wakati mwingine anajifanya ananisalimia.Je!Nimjulishe mtu wake?

Mlikuwa gesti kufanya nini na mwanamke uliyepanga kuoana naye? Lazima upate mateso kwa makosa unayoyafanya.
 
Demu unayekutana naye gesti asitahiri kuwa mke wako.Huyo muweke kama akiba wa kuokoa jahazi wakati mambo si mambo.Gest .? tena uchochoroni.?Na we demu unayeperekwa gest.?
 
sichoki kurudia hii: 'advice is what we ask for when we know exactly what to do bt dont wanna do it'. wewe ulikua unataka kufanyaje? ukumbuke mkwala uliochimbiwa na mwanaume mwenzio akiwa na huyo dada (sijui alikua kamteka nyara na kumshikia mtutu?). kama una hobby ya wrestling, endelea nae. mpe na atm card akae nayo ili asisumbuke kukutafuta.
 
mi nadhani huna haja ya kusumbuliwa na huyo dada, concentrate kwenye kazi zako mshit mpaka ajione kajipaka mavi, mwombe mungu akupe mwanamke anayekustahili mana huyo hakustahili hata kidogo
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom