Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,410
- 119,112
Unashangaa nini wakati siku hizi watu/kina dada wanajadili papuchi au kugegedwa wakiwa kanisani tena katika ile sala ya kuungama. Kama una demu/mke epuka sana midahalo ama makundi ya jumuiya nyumbani kwa fulani utalizwa mkuu. Wenzo twafaidi huko jumuiyani. Asikudanganye mtu kwani nyege ni haki ya kila mwanadamu na kila mwanadamu inabidi agegedwe, upo hapo?
Kwa sababu wewe ni Jamaa Mbishi sioni sababu ya kuendelea kufafanua....btw mimi ni ke