Mida hii mtaa wa Sombetini M/kiti wa Uvccm.Martin Munis na timu yake wamekwenda kwa kamanda wa Chadema Omary na kumuomba akubali kurudisha kadi ya Chadema kwa kiasi cha laki moja (100,000) ktk mikutano yao inayoendelea ktk kata mbalimbali jijini Arusha.Kweli nimeamini kadi ya Chadema ni Dhahabu.wanapita kila pande kuwarubuni vijana kwa pesa hili warudishe kadi.