Wanajukwaa kama kichwa kinavyosema hapo juu, hapo mwanzoni nilikuwa mpimaji VVU mzuri sana , sasa juzi juzi hapa nikampata mrembo fulani ambaye kwa kweli alinivutia sana mpk kupelekea kufikia tamati ya kuingiliana kimwili. Sasa kama wiki tatu zimepita nikamfumania anabugia dawa zetu zile na nikamuuliza nn hizo wala hakusita kuniambia ukweli kuwa yeye anatumiaga toka mwaka 2013, ukabidi nimuulize kwa nn hukunambia mwenzako kuwa wewe tayari unatumia wkt mi mwenzako bado sijaanza? Akasema nililewa nikajisahau.
Sasa tokea siku aliponambia mpk leo sina amani kabisa na uoga ushanipata sana maana ghafla nimekuwa mwoga.
Jamani pls nisaidieni nifanyeje niondokane na msongo wa mawazo niliyonayo?
Sasa tokea siku aliponambia mpk leo sina amani kabisa na uoga ushanipata sana maana ghafla nimekuwa mwoga.
Jamani pls nisaidieni nifanyeje niondokane na msongo wa mawazo niliyonayo?