Not_Yet_Uhuru
JF-Expert Member
- Oct 11, 2010
- 1,304
- 431
Mimi leo nimeamini CDM ni noma. Ni chama cha kwanza cha upinzani kusambaratisha CCM hadi kuvua watu uongozi,ni chama cha kwanza upinzani kufuta ajira za watu ccm,ni chama cha kwanza kukikosesha chama cha ccm na ni chama ambacho Makamba na Chiligati hawatakisahau.
Aminia chalii,
CDM ndio dira ya taifa.....CCM itake isitake!
Usisahau hata JK alinusurika pa uzi wa sindano na hatasahau kamwe alivyotumia nguvu ya dola kukwiba nguvu na ushindi wa umma ambao ndio uliotoa picha halisi ya jinsi CCM inavyokufa, na kuamua kujitangazia kuivua gamba! Lakini mtoto wa joka la kibisa ni joka tu...hivyo CCM mpya haina upya ila ni kupaka rangi chungu cha zamani wakati kwa ndani ni uzee uleule...CCM ni ufisadi kwa sana! Hawaponi ng'o! labda woooote wakapate 'kikombe cha babu' na kuikana ile dhambi ya ibilisi...yaani wizi na ufisadi wa mali za raia maskini wa taifa hili. La sivyo...CCM ni itakuwa mfu tu! Mukama kakabidhiwa mahututi!