PapoKwaPapo
JF-Expert Member
- Jun 5, 2008
- 380
- 45
Inaniuma sana kubandika hii habari...
kwenye jimbo la kilosa CCM wameshinda viti 11 vya udiwana, 3 wapepita bila kupingwa na kimoja kachukua mtu wa CUF....
Kwenye ubunge CCM wamepata kura nyingi sana......siwezi hat kusema
kwenye jimbo la kilosa CCM wameshinda viti 11 vya udiwana, 3 wapepita bila kupingwa na kimoja kachukua mtu wa CUF....
Kwenye ubunge CCM wamepata kura nyingi sana......siwezi hat kusema