kwa kweli hali ni tete kwa ccm si bara wala visiwani watu wameichoka ombi langu kwao pls kubalini yaishe heshimuni maamuzi ya watanzania at once naamini safari mtaiba lakini mtashindwa kwani gepu ni kubwa alizibiki kwakweli.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.