Kweli Mh. Rais wetu hilo ndo la kuwaweka watu uwanjani muda wote huo..


Watu wengine kama hamna la maana msiwe mnaingia humu JF kutupotezea muda na akili zenu Za kushikiliwa na Bavicha. Rais Obama mwenyewe alitoa speech nzima White House juu ya Mandela, Bunge la JMT lime fanya hivyo hivyo, Rais Kenyata nae hivyo hivyo na dunia nzima hivi sasa viongozi wake mbali mbali mbali wana mueleza Mandela, ww uko duniani au kuzimuni?. Nenda kalee familia watoto wanalia nyumbani acha kutuletea mambo ya ajabu hapa.

Kwaiyo Mandela asingekufa leo Dakta Alhaj Luteni Kanali Rais Kikwete angekuwa hana cha kuhutubia?
 
quote_icon.png
By sexologist

Yaani Mh. Rais anapiga stori za Mandela tu katika 'hotuba' yake ambayo haikuwa kufanyika kwenye maazimisho haya..
Kweli kazi tunayo.. Uchumi wetu utazidi kuporomoka!

Wewe kweli ni SEX-OLOGIST (huwezi kuwa na akili ukajiita jina hilo hata kama ni aka) na nadhani unatiwa vidole kwa sababu akili huna. Bahti mbaya humu wamebaki bavicha-Lema ambao akili zao ni ndogo kama nanihiii yq panya. Unachoongea hukujui na kweli cdm kazi inayo. HGreat thinker cdm wote wameondoka na Zito, mmebaki ndondo. Uliona wapi siku ya leo zinatolewa hotuba, lakini kwa kuwa dunia imesimama kwa kifo cha Mzee Madiba viongozi wote wenye akili wakipata nafasi hizi lazima zitumike. Hushangai kwanini Mbowe leo katia timu na kawahi nafasi uwanjani, unamshangaa mtu makini na mwenye nchi. Mbowe watu wako hawakusaidii humu ndani, cdm inazidi kuonekana kituko zaidi, wamebaki majuha wasiojitambua






Bora mtu aniite jina hilo kuliko kuitwa mwanachama, mpenzi, au mfuasi wa ccm hii!
 
Mimi nilidhani kuna jambo anajaribu "kuderive" kutoka katika maelezo aliyokuwa akiyatoa kumuhusu Madiba, nikapigwa butwaa kamaliza, khaaa!!
Tuache unafiki, hata kama macho ya Dunia nzima yapo kwa Madiba Mh. Rais leo hakujipanga kabisa (anavuta kumbukumbu ni nini aliwahi kukishuhudia katika uhai wa Madiba halafu anakiongea bila mpangilio) mweeh!!!
 
Yaani Mh. Rais anapiga stori za Mandela tu katika 'hotuba' yake ambayo haikuwa kufanyika kwenye maazimisho haya..
Kweli kazi tunayo.. Uchumi wetu utazidi kuporomoka!

Unamajaribu wewe .nenda katowe sadaka
Vingenevyo utaanza kupiga familiya.unahatari.hata mandela unamuoneya wivu kutajwa????.mbona nisifa zake mungu kampa kwa juhudi zake.
Nenda kwenu kaulize hakuna.makaburi?.nenda .
 
Kwa ajili tuko kwenye maombolezo ya mzee MANDELA rais yuko sawa kabisa kuongelea habari za Mandela.
 
Huwa nahisi JK ana bifu na JKN!! Maana haka kamusela hata ile Nyerere Day kenyewe kalikuwa kameng'ang'ana na Risala za Maadhimisho ya mbio za mwenge. Mwenye kujua anidadavulie jameni, huenda alikuwa mwanae akamukana au alivyo mwambia hatutaki maraisi wa sanii aka wahuni, kamushikaji kame amua kulipiza. Make hamna hata hotuba yake kuhusu mwl? Yaani hata kumuita Baba aka Baba wataifa hajawahi huenda akiwa uraiani atafanya hivyo!! Muulize tu musondo wako wapi leo, utasikia fasta majibu!!
 
Risala yenyewe visasi tu....hamtaji mhasisi wa taifa ili JK Nyerere kuwa ndo kiungo chetu na South Afrika? Hivi Kikwete amemhezije Nyerere?

Hana cha kuongea nchi iko shaghla baghla, mazuri yote aliyotenda Nyerere yameharibiwa sasa aongelee nini? Labda ujangiri wa meno ya tembo, kukithiri kwa madawa ya kulevya na kudidimia kwa uchumi vinginevyo aseme :A S 103:anaruka viwanja/majuuuuuuuuuuuuuuu!
 
Mimi nilidhani kuna jambo anajaribu "kuderive" kutoka katika maelezo aliyokuwa akiyatoa kumuhusu Madiba, nikapigwa butwaa kamaliza, khaaa!!
Tuache unafiki, hata kama macho ya Dunia nzima yapo kwa Madiba Mh. Rais leo hakujipanga kabisa (anavuta kumbukumbu ni nini aliwahi kukishuhudia katika uhai wa Madiba halafu anakiongea bila mpangilio) mweeh!!!

YES.. There u are.. Hiki ndicho ninachosema, hakufanya hotuba, bali ni kama kupiga soga na watu juu ya Mandela.. Ndo maana maudhui hayakujikita kumzungumzia Mandela kama Mandela, bali uhusiano wake yeye na Mandela na pia kutumia muda mwingi kuzungumzia viatu vya Mandela!
 
Kwa ajili tuko kwenye maombolezo ya mzee MANDELA rais yuko sawa kabisa kuongelea habari za Mandela.

Mkuu ni kweli.. Tatizo ni maudhui ya hiyo hotuba tulioambiwa tusubirie.. Hakujikita kumzungumzia Mandela kitaifa, bali kibinafsi zaidi!
 
Mkuu basi siku nyingine ntamuambia ajirekebishe awe anakuongelea na wewe,sexologist
 
Back
Top Bottom