Mkuu nilipigwa bann ila leo nimetoka kifungoni!!!..........Sasa umesikia Macio Maximo kasema hawezi kuja kufundisha yanga hajafikia uwezo wake kisoka haujaporomoka kiasi hicho wazee yanga wanatafuta mchawi.....YANGA BWANA MNAFURAHISHA!!!:wink2:
Karibu sana mkuu,anyway suala Maximo ni utata mtupu,Yanga na huyo mzee wao anayejiita Akilimali ni WAHUNI tu.Naona wanataka kumuangushia jumba lao bovu kijana asiye na hatia Shaffih Dauda.