FairPlayer
JF-Expert Member
- Feb 27, 2006
- 4,145
- 716
Wakuu,
Ni muda sasa toka nianzishe mada yoyote hapa JF. Sababu zipo nyingi ila kubwa ni kukosa muda.
Hivi kweli migomo ya mara kwa mara ndio suluhisho la matatizo ya wafanyakazi au wanafunzi au wafanyabiashara? Kwanini kusiwepo na sehemu au taasisi inayojitegemea kwa ajili ya kupelekea malalamiko yako?
Maandamano ya vyama vya siasa. Maandamano hata yakiwa ya amani lazima kuna vibaka wanajichomeka mle ili mradi wapate riziki zao.
Hivi hakuwezi haki kupatikana bila maandamano?, kwanini kusiwepo chombo ambacho ukitaka kuandamana au kugoma unapeleka maombi yako kisha polisi wanaitwa mnapingana kwa HOJA kisha hicho chombo kinaamua kuwa muandamane au hapana?
Jamani naomba mawazo yenu ya nini tufanye. Kwa mwendo huu wa sasa tutaanza kupoteza maisha ya watu kwa mambo yanayotatulika.
Asanteni kwa kuchangia positively.
Ni muda sasa toka nianzishe mada yoyote hapa JF. Sababu zipo nyingi ila kubwa ni kukosa muda.
Hivi kweli migomo ya mara kwa mara ndio suluhisho la matatizo ya wafanyakazi au wanafunzi au wafanyabiashara? Kwanini kusiwepo na sehemu au taasisi inayojitegemea kwa ajili ya kupelekea malalamiko yako?
Maandamano ya vyama vya siasa. Maandamano hata yakiwa ya amani lazima kuna vibaka wanajichomeka mle ili mradi wapate riziki zao.
Hivi hakuwezi haki kupatikana bila maandamano?, kwanini kusiwepo chombo ambacho ukitaka kuandamana au kugoma unapeleka maombi yako kisha polisi wanaitwa mnapingana kwa HOJA kisha hicho chombo kinaamua kuwa muandamane au hapana?
Jamani naomba mawazo yenu ya nini tufanye. Kwa mwendo huu wa sasa tutaanza kupoteza maisha ya watu kwa mambo yanayotatulika.
Asanteni kwa kuchangia positively.