Kweli Lowassa na Sumaye ni matapeli wa siasa

technically

JF-Expert Member
Jul 3, 2016
11,975
48,842
Sumaye kufanya Kazi Serikalini kwa miaka 10 akiwa waziri mkuu sana sana alichokifanikisha ni kuiba mashamba ya wananchi.

Kuuza nyumba za Serikali bila huruma ndio yangekuwa mabadiliko?

Eti tuliuza nyumba za Serikali kwa sababu zilikuwa nyingi shame on you .

Eti ukitaka mambo yako yanyooke vizuri kuwa ccm halafu ukinyang'nyanywa shamba ulilokwapua unaanza kulia lia .

Lowassa miaka mitatu ya uwaziri wake anataka kuleta hadi nvua ya bandia na makampuni ya kitapeli ya kufua umeme.

Halafu akiambiwa fisadi eti Mwenye ushahidi apeleke mahakamani hivi kutopelekwa makamani ndio kigezo cha wewe kutokuwa fisadi?..

Hivi niwaulize swali wafuasi wa Lowassa hivi Chenge ni fisadi au sio fisadi?

Hivi watu kama Lowassa na Sumaye waliotuaminisha kuwa wanauwezo wa kwenda Ikulu wanakosaje uwezo wa kupigania maslahi yao ya kuzuiwa kufanya mikutano ya siasa mpaka 2020?..

Kazi ya Lowassa na Sumaye kwa sasa ni ipi? Kama siasa wamezuiwa tu wameufyata wakati sio wabunge wala hawana Ajira yeyote ?

Kama mnashindwa kujitetea tu mngeweza kuwatetea watanzania mlio wasaliti huko nyuma?

Hivi hawa wangeweza kuongoza nchi kweli watu wasioweza hata kupigania Ajira zao.

Nashauri lowassa na Sumaye wastaafu siasa. Au watulie sindano iwaingie Mimi nitatetea watu walio very clear ndani ya Chadema kama Lema na Lissu lakini si hawa matapeli.

Chagua moja staafu siasa, nendeni Ccm au maslahi yenu yakiguswa nyamazeni mnatia kinyaa.
 
Lowasa na sumaye ni zaidi ya matapeli ya wnanchi. Kwa mtu anayejielewa huwezi kumshabikia Lowasa na sumaye ndani ya chadema. Nashangaa kuona kawa na maamuzi kuliko hata mwenyekiti. Wa chama. Chadema inapoelekea inaenda kuuzwa kwa sh. 200/ za kitanzania.
 
Hata kina Lissu na Lema ni wale wale matapeli wa kisiasa.

Kwa sasa wamekuwa wabeba mikoba ya Lowassa.

Liberty cannot be established without morality, nor morality without faith―Alexis de Tocqueville

Angalia walichokisema na walichokitenda.

Utapeli wa CHADEMA.jpg
 
Hata kina Lissu na Lema ni wale wale matapeli wa kisiasa.

Kwa sasa wamekuwa wabeba mikoba ya Lowassa.

Angalia walichokisema na walichokitenda.

View attachment 454163
Walikuwa sahihi kabisa wala hakuna uongo wanatakiwa warudi Ccm ndio inaweza kulea wezi lakini kama wanabaki uko waliko maslahi yao yakiguswa wanyamaze .

Au wastaafu siasa....
 
mbo,low,sum ni 3 musketeers!
wanautaka urais kwa nguvu zote wanadhani hii nchi iliumbwa kwa ajili yao!mimi naamini kama sio afrika au tanzania ni watu wachache wanataka urais kwa nia njema ya kututoa tulipo ila sio hao 3 musketeers!tanzania imeshakuwa sugu labda abaki mungu aliye juu mwenyewe na malaika zake ndio wataiweza sio.........
 
Sumaye kufanya Kazi Serikalini kwa miaka 10 akiwa waziri mkuu sana sana alichokifanikisha ni kuiba mashamba ya wananchi.

Kuuza nyumba za Serikali bila huruma ndio yangekuwa mabadiliko?

Eti tuliuza nyumba za Serikali kwa sababu zilikuwa nyingi shame on you .

Eti ukitaka mambo yako yanyooke vizuri kuwa ccm halafu ukinyang'nyanywa shamba ulilokwapua unaanza kulia lia .

Lowassa miaka mitatu ya uwaziri wake anataka kuleta hadi nvua ya bandia na makampuni ya kitapeli ya kufua umeme.

Halafu akiambiwa fisadi eti Mwenye ushahidi apeleke mahakamani hivi kutopelekwa makamani ndio kigezo cha wewe kutokuwa fisadi?..

Hivi niwaulize swali wafuasi wa Lowassa hivi Chenge ni fisadi au sio fisadi?

Hivi watu kama Lowassa na Sumaye waliotuaminisha kuwa wanauwezo wa kwenda Ikulu wanakosaje uwezo wa kupigania maslahi yao ya kuzuiwa kufanya mikutano ya siasa mpaka 2020?..

Kazi ya Lowassa na Sumaye kwa sasa ni ipi? Kama siasa wamezuiwa tu wameufyata wakati sio wabunge wala hawana Ajira yeyote ?

Kama mnashindwa kujitetea tu mngeweza kuwatetea watanzania mlio wasaliti huko nyuma?

Hivi hawa wangeweza kuongoza nchi kweli watu wasioweza hata kupigania Ajira zao.

Nashauri lowassa na Sumaye wastaafu siasa. Au watulie sindano iwaingie Mimi nitatetea watu walio very clear ndani ya Chadema kama Lema na Lissu lakini si hawa matapeli.

Chagua moja staafu siasa, nendeni Ccm au maslahi yenu yakiguswa nyamazeni mnatia kinyaa.
Chadema amna kitu we njoo tuu chama cha mapinduzi, nyooka Tu kama rula karibu technical.
 
To me Mnyika, Lema and alikes nitaendelea pia kuwaunga mkono ingawa waliingizwa mkenge na Mbowe wakat wa kumpokea Lowasa. Angalia Leo hii nguvu ya kukemea ufisadi iko wapi kutoka upinzani??
 
mbo,low,sum ni 3 musketeers!
wanautaka urais kwa nguvu zote wanadhani hii nchi iliumbwa kwa ajili yao!mimi naamini kama sio afrika au tanzania ni watu wachache wanataka urais kwa nia njema ya kututoa tulipo ila sio hao 3 musketeers!tanzania imeshakuwa sugu labda abaki mungu aliye juu mwenyewe na malaika zake ndio wataiweza sio.........
Na Lowassa atokaa awe rais wa nchi hii anapoteza muda tu.....
 
Too much of anything is nonsense

Kuna mambo mengine mengi ya kujadili sio lowasa na Sumaye kila siku

Grow up
 
Sumaye kufanya Kazi Serikalini kwa miaka 10 akiwa waziri mkuu sana sana alichokifanikisha ni kuiba mashamba ya wananchi.

Kuuza nyumba za Serikali bila huruma ndio yangekuwa mabadiliko?

Eti tuliuza nyumba za Serikali kwa sababu zilikuwa nyingi shame on you .

Eti ukitaka mambo yako yanyooke vizuri kuwa ccm halafu ukinyang'nyanywa shamba ulilokwapua unaanza kulia lia .

Lowassa miaka mitatu ya uwaziri wake anataka kuleta hadi nvua ya bandia na makampuni ya kitapeli ya kufua umeme.

Halafu akiambiwa fisadi eti Mwenye ushahidi apeleke mahakamani hivi kutopelekwa makamani ndio kigezo cha wewe kutokuwa fisadi?..

Hivi niwaulize swali wafuasi wa Lowassa hivi Chenge ni fisadi au sio fisadi?

Hivi watu kama Lowassa na Sumaye waliotuaminisha kuwa wanauwezo wa kwenda Ikulu wanakosaje uwezo wa kupigania maslahi yao ya kuzuiwa kufanya mikutano ya siasa mpaka 2020?..

Kazi ya Lowassa na Sumaye kwa sasa ni ipi? Kama siasa wamezuiwa tu wameufyata wakati sio wabunge wala hawana Ajira yeyote ?

Kama mnashindwa kujitetea tu mngeweza kuwatetea watanzania mlio wasaliti huko nyuma?

Hivi hawa wangeweza kuongoza nchi kweli watu wasioweza hata kupigania Ajira zao.

Nashauri lowassa na Sumaye wastaafu siasa. Au watulie sindano iwaingie Mimi nitatetea watu walio very clear ndani ya Chadema kama Lema na Lissu lakini si hawa matapeli.

Chagua moja staafu siasa, nendeni Ccm au maslahi yenu yakiguswa nyamazeni mnatia kinyaa.
Na waliye uza nae nyumba za serikali na baadaye akanunua kivuko kibovu na CAG akasema kwenye ripot yake kuna ubadilifu kwenye wizara yake ya ujenzi na mtu huyo siku hizi yuko ikulu. Je mtu huyo yeye unamuweka kwenye kundi gani? La ufisadi au
 
Back
Top Bottom