Akishakuja ndio mtachukua ubingwaLitakufa jitu mara paap yanga day tunamtambulisha misquonne
Hiyo mechi umeangalia kupitia nini?Inawezekana.
Leo tuliambiwa timu yangu ya Simba uko Morocco itacheza mechi ya kimataifa ya kirafiki nikahamua kufuatilia huo mpira nikajiuliza siku hizi mechi zinachezwa hazina Waamuzi wa pembeni.
Suala la uwanja ambao hauna majukwaa wala mashabiki sio tatizo labda sababu ya Covid 19.
Unaijua bilion lakiniKuna fununu za chini ya kapeti kuwa dogo kashawishiwa na wakala wake anaye msimamia kuwa avunje mkataba kwa maelewano ya pande kuu mbili ili kijana apate kujiunga kwenye upande atakao pata maslahi zaidi.
Tetesi zanasema hizi pande kuu mbili zina surprise kubwa sana kwa mashabiki wao, kwamba kila timu imesajili mchezaji ambaye atashtua bara zima.
Je, hizi taarifa ni kweli? Basi muda utajibu
Mkuu wale watani wetu.. Tusiwatusi.Wachezaji wao wakirudi Morocco wapimwe marinda kwanza.
Bahati nzuri anakijua Kireno. Unadhani hakusikia yule dogo mwenzake wa msumbiji alivyolalamika kulishwa makande kila siku?Litakufa jitu mara paap yanga day tunamtambulisha misquonne
Hajavunja mkataba bali alikuwa kwa mkopo simba na timu yake imemchukuaKuna fununu za chini ya kapeti kuwa dogo kashawishiwa na wakala wake anaye msimamia kuwa avunje mkataba kwa maelewano ya pande kuu mbili ili kijana apate kujiunga kwenye upande atakao pata maslahi zaidi.
Tetesi zanasema hizi pande kuu mbili zina surprise kubwa sana kwa mashabiki wao, kwamba kila timu imesajili mchezaji ambaye atashtua bara zima.
Je, hizi taarifa ni kweli? Basi muda utajibu
Ndio mlivo danganywa huko utopoloHajavunja mkataba bali alikuwa kwa mkopo simba na timu yake imemchukua
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app