Kweli kuwa Luis Miqquiesone kavunja mkataba?

Inawezekana.

Leo tuliambiwa timu yangu ya Simba uko Morocco itacheza mechi ya kimataifa ya kirafiki nikahamua kufuatilia huo mpira nikajiuliza siku hizi mechi zinachezwa hazina Waamuzi wa pembeni.

Suala la uwanja ambao hauna majukwaa wala mashabiki sio tatizo labda sababu ya Covid 19.
 
Inawezekana.

Leo tuliambiwa timu yangu ya Simba uko Morocco itacheza mechi ya kimataifa ya kirafiki nikahamua kufuatilia huo mpira nikajiuliza siku hizi mechi zinachezwa hazina Waamuzi wa pembeni.

Suala la uwanja ambao hauna majukwaa wala mashabiki sio tatizo labda sababu ya Covid 19.
Hiyo mechi umeangalia kupitia nini?
 
Shida ya utopolo ni creativity midfielder na kuwa na classic players yanga ukiitoa first eleven yao waliobaki nje hawatishi
 
Kuna fununu za chini ya kapeti kuwa dogo kashawishiwa na wakala wake anaye msimamia kuwa avunje mkataba kwa maelewano ya pande kuu mbili ili kijana apate kujiunga kwenye upande atakao pata maslahi zaidi.

Tetesi zanasema hizi pande kuu mbili zina surprise kubwa sana kwa mashabiki wao, kwamba kila timu imesajili mchezaji ambaye atashtua bara zima.

Je, hizi taarifa ni kweli? Basi muda utajibu
Unaijua bilion lakini
 
Kuna fununu za chini ya kapeti kuwa dogo kashawishiwa na wakala wake anaye msimamia kuwa avunje mkataba kwa maelewano ya pande kuu mbili ili kijana apate kujiunga kwenye upande atakao pata maslahi zaidi.

Tetesi zanasema hizi pande kuu mbili zina surprise kubwa sana kwa mashabiki wao, kwamba kila timu imesajili mchezaji ambaye atashtua bara zima.

Je, hizi taarifa ni kweli? Basi muda utajibu
Hajavunja mkataba bali alikuwa kwa mkopo simba na timu yake imemchukua

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Hata Chama mmewahi kumsajili mara nyingi Utopolo, mpaka gazeti lenu lilitoa picha. Mnapenda sana kuota
 
Back
Top Bottom