Kweli kuna wanawake wanaroho mbaya

Tajiri Tanzanite

JF-Expert Member
Oct 23, 2016
2,050
3,658
Hapo vipi

Ukitumia akili ya kawaida na utafiti partial na jinsi unavyoingiza mshedede kwenye hiyo kitu chake hauweza kukubaliana na mimi juu ya hili ila ukweli na fact mwanamke ndio kiumbe namba mojo mwenye roho mbaya Duniani.

Kabla hatujafika kwenye ushahidi niliokutanana nao ..Ngoja kwanza tumungalie mwanamke alivyotafsiriwa na Mungu aliyemuumba mwenyewe.

Kwanza,katika idadi ya mitume mwanamke tunaona hakumtumika sana na Mungu..nadhani anasababu maalum anayeijua yeye kuliko sisi tunayetumia sababu za kisiasa

Mwanamke ndio mtu aliyekuwa chanzo cha tabu na matatizo yote Duniani baada ya kula tunda na shetani.
Tafsiri yake sio muaminifu,msaliti na mdhaifu kutumika na kiumbe mwovu.

Anguko la Somson wa kwenye Biblia ni mwanamke..huyu mtu ni shida

Wachawi wengi hapo Duniani na wanaoharibu jamii ni mwanamke,ndio maana kwa wakristo katika kitabu cha Biblia kutoka 22:18..imeandikwa usimwache mwanamke mchawi akaishi..mwanamke ni wakuwawa kabisa.

Wanataoa mimba na kutupa watoto ovyo jalalani.

Katika hali ya kawaida mwanamke na mwanaume wakifanya kosa kwenye uhusiano mwanaume anaweza kusamehe na kusahau,mwanamke hawezi kusahau kuna siku atalipiza kisasi.

Leo hii kama mwanamke anaweza kuwa na best yake alafu yupo single ila ukijaribu kumuambie akuchezeshea maneno utasikia anamwanaume wake au muambie mwenyewe..ila kwa sisi wanaume ukimtaka mwanamke faster mwanaume mwenzako anakusaidia..huu ni mfano mdogo ila inamaana.

Secretary mwanamke na mwanaume..mwanamke utasikia hamna kazi..mwanaume usijali lete application zako nitafikisha...pambana utafanikiwa.

Ukiangalia kubeba mimba sijui miezi tisa alafu ukamuano mwanamke anaupendo na huruma kuliko baba yako utakuwa mpumbavu wa mwisho..kubeba mimba ni njia kama ya haja kubwa na ndogo inavyofanya kazi...hivyo basi anza kufanya haja kubwa na ndogo inathamani kubwa kuliko akili,jicho n.k

Ndio maama kuna watu walikuja kumuambia Yesu.tanzama mama yako anakutafuta usiku kucha akawapa jibu la kistaraabu kwa kuwaheshimu yakwamba mama yangu na ndugu zangu ni wale tu wanaosikia neno la Mungu.

Ushauri wangu wanaume tujitahadhari sana na wanawake na tuishi nao kwa akili kwasababu mpango wa awali wa Mungu ni mwanaume na sio mwanamke...baada ya ujio wa mwanake amekuwa ndio chanzo cha mwanadamu kwa ujumla kuwa mbali na Mungu ...na amekuwa chachu ya kumzuia mwanaume kuiyona mbigu.

Sura ya mwanamke kwa mwanaume ni sawa na shetani aliyezeeka anayevaasura ya malaika...hiyo ni reception environment ili apate kukuharibu kabisa.

NB.mwanamke ndio mwanya wa shetani kumzuiya mwanadamu kuingia mbinguni au kuharibu mahusiano yake na Mungu...Refer to religions history.
 
Mkuu aliekuambia uwaseme vibaya mama zetu,dada,shangazi,wake zetu ni nani..?
Hivi ulishaona alshabab wakike hata kumi..?
Wezi je mitaani..?
Wanaobaka watoto je..?

Hawa viumbe mi nawatetea wana huruma,wastahimilivu,they care n.k
 
Mkuu aliekuambia uwaseme vibaya mama zetu,dada,shangazi,wake zetu ni nani..?
Hivi ulishaona alshabab wakike hata kumi..?
Wezi je mitaani..?
Wanaobaka watoto je..?

Hawa viumbe mi nawatetea wana huruma,wastahimilivu,they care n.k
Source ya hiyo apirit yote ambayo inatoka kwa shetani ni mwanamke...hawa Alshababu wasingepata roho ya kishetani kama shetani asingepata njia ya kuwafikia tokea mwanzo..usiangalie impacts angalia chanzo cha impacts.mfano mrahisi ni wa dhabi haikuwepo tokea mwanzo kwa hiyo dhambi yote ni chanzo cha mwanmke na sio anayetenda kwasasa
 
Mwanamke nirahisi kumuunganishia Moshe yoyote mwanamke mwenzie kuliko sisi wanaume.

MTU mwenye matatizo ya akili was like hawezi tembea mita 100 akiwa uchi mbele ya wanawake wenzie ila mgonjwa was akili wa kiume anaweza toka mwanza hadi dar bila hata mwanamme mmoja kumpa suruari.

Wanaume tungekuwa tunapendana kusingekuwa MTU anatembea kwa miguu safari ya kuhama mkoa ingari karibu kila gari linalopita linaendeshwa na mwanaume mwenzie. Ila cha kushangaza wanawake ndo hawatembei kwa miguu na hawana magari. Ukienda kuomba kazi kwa mwanaume uko na Dada yako na mko na vigezo sawa basis tegemea dadayako ndo atapata kazi ila we subiri sana
 
Huo ndio ukweli mkuu wala hujakosea kabisa ukiwakuta kwenye madaraka hawa kama HR, receptionist na ofisi zingine anaweza kutemea hata mate kama unataka msaada kwake. Mwanamke ndio aliharibu mahusiano mazuri ya mwanadamu na mungu.

wanawake ni kiumbe hatari sana ebu fikiria, Mama anamlazimisha mtoto wake akatoe ushahidi mahakamani kuwa amebakwa na baba yake mzazi wa kisa tu wamekorofishana na mtu anafungwa mmaiisha jera kwa kusingizia bila huruma?

Basi tu ni mama zetu hawa Lakini hata mungu aliyewaumba alijua akiri zao ndio maana akatuambia tuishi nao tu kwa akiri. basi.
 
Source ya hiyo apirit yote ambayo inatoka kwa shetani ni mwanamke...hawa Alshababu wasingepata roho ya kishetani kama shetani asingepata njia ya kuwafikia tokea mwanzo..usiangalie impacts angalia chanzo cha impacts.mfano mrahisi ni wa dhabi haikuwepo tokea mwanzo kwa hiyo dhambi yote ni chanzo cha mwanmke na sio anayetenda kwasasa
Well said
 
Huo ndio ukweli mkuu wala hujakosea kabisa ukiwakuta kwenye madaraka hawa kama HR, receptionist na ofisi zingine anaweza kutemea hata mate kama unataka msaada kwake. Mwanamke ndio aliharibu mahusiano mazuri ya mwanadamu na mungu.

wanawake ni kiumbe hatari sana ebu fikiria, Mama anamlazimisha mtoto wake akatoe ushahidi mahakamani kuwa amebakwa na baba yake mzazi wa kisa tu wamekorofishana na mtu anafungwa mmaiisha jera kwa kusingizia bila huruma?

Basi tu ni mama zetu hawa Lakini hata mungu aliyewaumba alijua akiri zao ndio maana akatuambia tuishi nao tu kwa akiri. basi.
🤭🤭🤔🤔
 
Hujui kufikiri Kama kweli unatafuta chanzo Basi alieweka huo mti ndo source.. hao wengine ni wahanga tu.
Source ya hiyo apirit yote ambayo inatoka kwa shetani ni mwanamke...hawa Alshababu wasingepata roho ya kishetani kama shetani asingepata njia ya kuwafikia tokea mwanzo..usiangalie impacts angalia chanzo cha impacts.mfano mrahisi ni wa dhabi haikuwepo tokea mwanzo kwa hiyo dhambi yote ni chanzo cha mwanmke na sio anayetenda kwasasa
 
Hujui kufikiri Kama kweli unatafuta chanzo Basi alieweka huo mti ndo source.. hao wengine ni wahanga tu.
Huo mti ni kama mtihani wa darasani ili kumbanii truth na fake,ndio maana huku Duniani tuna interview na mitihani..pia Mungu (Jehova)ana haki ya kuwa na kipimo chake
 
Huo mti ni kama mtihani wa darasani ili kumbanii truth na fake
Bado hujui kufikiri ndugu kubaini kupi kazi ya alieumba anaeitwa mkamilifu then ajipitishie chujio kwenye kazi yake timilifu nini maana ya utimilifu..?

Kama ndugu unamatatizo yako usiwatupie mama zetu umepewa akili ya kupambana ktk mnazingira yako .. huu mchezo Kama unajua kufikiri mchawi wa yote utakuwa ushamjua.
 
Bado hujui kufikiri ndugu kubaini kupi kazi ya alieumba anaeitwa mkamilifu then ajipitishie chujio kwenye kazi yake timilifu nini maana ya utimilifu..?

Kama ndugu unamatatizo yako usiwatupie mama zetu umepewa akili ya kupambana ktk mnazingira yako .. huu mchezo Kama unajua kufikiri mchawi wa yote utakuwa ushamjua.
Hizi ni zile hoja za kawaida nilizotegemea kutolea na watu wanaogafafa na wewe
 
18 Reactions
Reply
Back
Top Bottom