MKATA KIU
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 2,851
- 6,201
Wadau poleni sana,
Kusema ukweli mi ni mmojawapo wa watu tuliokuwa hatumkubali kanumba kwamba yupo juu kiasi hiki lakini nimekubali,
Yaani barabara hazipitiki, traffic na FFU wa kumwaga, amekufa complex, nasma khamis, na wengineo but sikutegemea kama msanii wa movie za camera moja anakubalika kiasi cha kuitingisha chi nzima kwa kifo chake, hapo kina profesa jay, ay na wengineo nazani wanajifunza kuwa kanumba alikuwa kiboko, hadi tandahimba, ng'ope, mperampera, nanjilinji watu kanumba kanumba, kusini, kaskazini, pemba na unguja kila mtu kanumba, jamaa kweli ametisha, from now I rank him as a number one artist superstars in Tz kina Ay mbwembwe tu
Kusema ukweli mi ni mmojawapo wa watu tuliokuwa hatumkubali kanumba kwamba yupo juu kiasi hiki lakini nimekubali,
Yaani barabara hazipitiki, traffic na FFU wa kumwaga, amekufa complex, nasma khamis, na wengineo but sikutegemea kama msanii wa movie za camera moja anakubalika kiasi cha kuitingisha chi nzima kwa kifo chake, hapo kina profesa jay, ay na wengineo nazani wanajifunza kuwa kanumba alikuwa kiboko, hadi tandahimba, ng'ope, mperampera, nanjilinji watu kanumba kanumba, kusini, kaskazini, pemba na unguja kila mtu kanumba, jamaa kweli ametisha, from now I rank him as a number one artist superstars in Tz kina Ay mbwembwe tu