Jibaba Bonge
JF-Expert Member
- May 6, 2008
- 1,246
- 401
Mrithi wa Makamba aingia na moto
Katibu Mkuu huyo ambaye ana kibarua kigumu cha kusafisha chama na kukirejesha katika misingi ya waasisi wake tangu enzi TANU na CCM ya mwaka 1977, alisema mwelekeo wa CCM pamoja na sera zake bado unakubalika kwa wananchi
Source: Mwanachi 12 April 2011
inanipa shida sana kuelewa hapo kwenye red
Katibu Mkuu huyo ambaye ana kibarua kigumu cha kusafisha chama na kukirejesha katika misingi ya waasisi wake tangu enzi TANU na CCM ya mwaka 1977, alisema mwelekeo wa CCM pamoja na sera zake bado unakubalika kwa wananchi
Source: Mwanachi 12 April 2011
inanipa shida sana kuelewa hapo kwenye red