Kweli hawa ni Ma-agent wa CCM??

Kituku

JF-Expert Member
Nov 18, 2010
238
24
Hivi hawa CUF wana nini jamani? nimeshangaa na kitendo chao cha kukimbilia viti vya Chadema mara tu Chadema walipoamua kutoka ukumbini, Hivi wanaringia nini huu umoja wa kitaifa ulioundwa Zanzibar, kwanini wanashindwa kuwa na stand yao ya kuwa ni upinzani milele... Ninachohisi mimi tayari yaliyofanyika Zanzibar ni kiini macho tu na kiujumla Jahazi litaendelea kuendeshwa na CCM milele, wataendelea kuwa ma-agent tu wa CCM, haiingii akilini kusema wao upinzani halafu wanayumbishwa na CCM, kwanini wasiungane na wapinzani wenzao???

Maoni yangu tu..
 
I am against slavery simply because I dislike slaves.
 
Hivi hawa CUF wana nini jamani? nimeshangaa na kitendo chao cha kukimbilia viti vya Chadema mara tu Chadema walipoamua kutoka ukumbini, Hivi wanaringia nini huu umoja wa kitaifa ulioundwa Zanzibar, kwanini wanashindwa kuwa na stand yao ya kuwa ni upinzani milele... Ninachohisi mimi tayari yaliyofanyika Zanzibar ni kiini macho tu na kiujumla Jahazi litaendelea kuendeshwa na CCM milele, wataendelea kuwa ma-agent tu wa CCM, haiingii akilini kusema wao upinzani halafu wanayumbishwa na CCM, kwanini wasiungane na wapinzani wenzao???

Maoni yangu tu..

Wanajizoesha kuvikalia manake very soon watakuwa declared kuwa ndio official opposition party bungeni iwapo Chadema wataendelea na msimamo wao wa kutomtambua JK kama Rais wao.
 
Hivi hawa CUF wana nini jamani? nimeshangaa na kitendo chao cha kukimbilia viti vya Chadema mara tu Chadema walipoamua kutoka ukumbini, Hivi wanaringia nini huu umoja wa kitaifa ulioundwa Zanzibar, kwanini wanashindwa kuwa na stand yao ya kuwa ni upinzani milele... Ninachohisi mimi tayari yaliyofanyika Zanzibar ni kiini macho tu na kiujumla Jahazi litaendelea kuendeshwa na CCM milele, wataendelea kuwa ma-agent tu wa CCM, haiingii akilini kusema wao upinzani halafu wanayumbishwa na CCM, kwanini wasiungane na wapinzani wenzao???

Maoni yangu tu..

We hujui hawa wamekuwa CCM B. Waurumie tu. Kila wafanyalo ni kwa niaba ya baba zao CCM. Upinzani wameweka kando.
 
Wanajizoesha kuvikalia manake very soon watakuwa declared kuwa ndio official opposition party bungeni iwapo Chadema wataendelea na msimamo wao wa kutomtambua JK kama Rais wao.
kama wewe unavyojizoesha kulala kwangu kwani muda si mrefu nitakuoa pamoja na kwamba unanuka shombo.
 
Hivi hawa CUF wana nini jamani? nimeshangaa na kitendo chao cha kukimbilia viti vya Chadema mara tu Chadema walipoamua kutoka ukumbini, Hivi wanaringia nini huu umoja wa kitaifa ulioundwa Zanzibar, kwanini wanashindwa kuwa na stand yao ya kuwa ni upinzani milele... Ninachohisi mimi tayari yaliyofanyika Zanzibar ni kiini macho tu na kiujumla Jahazi litaendelea kuendeshwa na CCM milele, wataendelea kuwa ma-agent tu wa CCM, haiingii akilini kusema wao upinzani halafu wanayumbishwa na CCM, kwanini wasiungane na wapinzani wenzao???

Maoni yangu tu..

mapandikizi na walipanga na mafisadi wenzao.
 
kweli wewe kishongo, hata katiba ya nchi yako hujui, unafikiri kuwa official opposition party bungeni ni kwa namna hiyo:bump:
 
Wanajizoesha kuvikalia manake very soon watakuwa declared kuwa ndio official opposition party bungeni iwapo Chadema wataendelea na msimamo wao wa kutomtambua JK kama Rais wao.

Du! :target:
 
wanajizoesha kuvikalia manake very soon watakuwa declared kuwa ndio official opposition party bungeni iwapo chadema wataendelea na msimamo wao wa kutomtambua jk kama rais wao.

source please kukurupuka huku ndiko tunakupiga vita tlp 1 udp i nccr 4 na cuf 3 sijakurupuka kama unavyodhani nasema cuf 3 kwasababu vijijimbo vya uchaguzi zenji ni kama kata moja huku bara! Jimbo linakuwa na wapiga kura 4ooo,5000, au wasiozidi 7000 na istoshe wanaochaguliwa ni majuha! The have no qualificatins and they will not!
 
kama wewe unavyojizoesha kulala kwangu kwani muda si mrefu nitakuoa pamoja na kwamba unanuka shombo.

Mod, matusi kama haya yalinifanya nishindwe kulala jana, nikawa naweweseka kama nimepigwa umeme.

Tuwe wastaarabu kwenye forum.

Hujanitendea haki.
 
Back
Top Bottom