Kweli hakuna mkate mgumu mbele ya chai, Mzee mbuzi Fid Q yamkuta šŸ¤£

MAPENzi yangu napenda tuwe private place, upepo mzuri pasafi tupo high and fresh.../

Siwezi kukuonga private jet, maisha magumu na unajua tunahitaji success.../

Si unajua niko simple boo, huwa naskiza RYTHM SLOW na sio HIP HOP tu.../

Acha walete tetesi kila wakati, mimi bila wewe kama sentensi bila nafasi.../

Sijielezi nafanya, sitelezi na kama mapenzi ni mlima niko lazi nifike kileleni salama.../

Mapenzi yangu siyafichi kitaa, na kama wewe jalala basi nimesizi kichaa.../

We ni binti kifaa, ah fck mapenzi yako hayatoshi kuyaeleza kwenye sixteen bars.../

S.O.N.G.A
 
MAPENzi yangu napenda tuwe private place, upepo mzuri pasafi tupo high and fresh.../

Siwezi kukuonga private jet, maisha magumu na unajua tunahitaji success.../

Si unajua niko simple boo, huwa naskiza RYTHM SLOW na sio HIP HOP tu.../

Acha walete tetesi kila wakati, mimi na wewe kama sentensi bila nafasi.../

Sijielezi nafanya, sitelezi na kama mapenzi ni mlima niko lazi nifike kileleni salama.../

Mapenzi yangu siyafichi kitaa, na kama wewe jalala basi nimesizi kichaa.../

We ni binti kifaa, ah fck mapenzi yako hayatoshi kuyaeleza kwenye sixteen bars.../

S.O.N.G.A
tuweke na verse ya Nick Mbishi.me nayo kumbuka ni.

"Kupenda mapedeshee hiyo ni hulka kwetu sisi wenye mapene te joh ruksa....

Kwani vipi mbn machick ckuiz wananitupa au dhiki ndo marafiki wananizunguka.

Napenda njia safi no sipendi miba unamtaka demu wangu stop pretend nigger hapendi bata zako anani feel hivi she more notorious she's kill big

Namoka ganja nae natoka kwanja nae cjaona manzi mwingine atae nitosha kwa badae...

Sina Lamborghini wala Masseratti wengine wanazini wengine washerati

Mapenzi yangu nikuishi nawe free ki beach boy tukale upepo kawe Beach

Wanamendea nawachek nimehifadhi charge zao kama power benki.

Nick Mbishi

Hili ngoma lilinipa demu kisu hatare noma sana.
 
tuweke na verse ya Nick Mbishi.me nayo kumbuka ni.

"Kupenda mapedeshee hiyo ni hulka kwetu sisi wenye mapene te joh ruksa....

Kwani vipi mbn machick ckuiz wananitupa au dhiki ndo marafiki wananizunguka.

Napenda njia safi no sipendi miba unamtaka demu wangu stop pretend nigger hapendi bata zako anani feel hivi she more notorious she's kill big

Namoka ganja nae natoka kwanja nae cjaona manzi mwingine atae nitosha kwa badae...

Sina Lamborghini wala Masseratti wengine wanazini wengine washerati

Mapenzi yangu nikuishi nawe free ki beach boy tukale upepo kawe Beach

Wanamendea nawachek nimehifadhi charge zao kama power benki.

Nick Mbishi

Hili ngoma lilinipa demu kisu hatare noma sana.
Hv hii ngoma inaitwaje mnigah....?
 
tuweke na verse ya Nick Mbishi.me nayo kumbuka ni.

"Kupenda mapedeshee hiyo ni hulka kwetu sisi wenye mapene te joh ruksa....

Kwani vipi mbn machick ckuiz wananitupa au dhiki ndo marafiki wananizunguka.

Napenda njia safi no sipendi miba unamtaka demu wangu stop pretend nigger hapendi bata zako anani feel hivi she more notorious she's kill big

Namoka ganja nae natoka kwanja nae cjaona manzi mwingine atae nitosha kwa badae...

Sina Lamborghini wala Masseratti wengine wanazini wengine washerati

Mapenzi yangu nikuishi nawe free ki beach boy tukale upepo kawe Beach

Wanamendea nawachek nimehifadhi charge zao kama power benki.

Nick Mbishi

Hili ngoma lilinipa demu kisu hatare noma sana.
Kwasababu umemaliza verse yote ya nikki mbishi acha nami nikumbushie moja ya nyimbo yake yenye maudhui kama hayo

Upo kwenye future plan ya super man, shika mkono usiondoke.../

Fungua mlango vuta ndani shtuka mjani, skiza somo usidondoke.../

Wanajidai wao mabosi fao hawakosi, kutwa promo ili ushoboke.../

Hata kupiga bao wanafosi mgao wa manoti, hawakufikishi popote.../

Unju kafa kweli i do for love makavel, achana nao wazungu wapumabavu matapeli.../

Wanaotupiga juju wote kavu wamefeli, umenishika zuzu mbuzi wameramba reli.../

Nimekumiss by inches, I wish ka nije

Smart kimavazi smart kwenye brain, pale kati kuna nazi huzipati magengeni.../

Staki uende uswazi kwa wanafki macho mengi, baki kwenye kazi linda chako wako wezi.../

Ah mapenzi sio pesa tu pesa kinogesho tu, aisee utanitesa ukiniambia mwisho kesho tu.../

Mvuto wako sexually you fck like proffessional, kiufupi umesimama kwenye point kama decimal.../

Credits: Uju bau hau
Song: nimekumiss
 
Kwasababu umemaliza verse yote ya nikki mbishi acha nami nikumbushie moja ya nyimbo yake yenye maudhui kama hayo

Upo kwenye future plan ya super man, shika mkono usiondoke.../

Fungua mlango vuta ndani shtuka mjani, skiza somo usidondoke.../

Wanajidai wao mabosi fao hawakosi, kutwa promo ili ushoboke.../

Hata kupiga bao wanafosi mgao wa manoti, hawakufikishi popote.../

Unju kafa kweli i do for love makavel, achana nao wazungu wapumabavu matapeli.../

Wanaotupiga juju wote kavu wamefeli, umenishika zuzu mbuzi wameramba reli.../

Nimekumiss by inches, I wish ka nije

Smart kimavazi smart kwenye brain, pale kati kuna nazi huzipati magengeni.../

Staki uende uswazi kwa wanafki macho mengi, baki kwenye kazi linda chako wako wezi.../

Ah mapenzi sio pesa tu pesa kinogesho tu, aisee utanitesa ukiniambia mwisho kesho tu.../

Mvuto wako sexually you fck like proffessional, kiufupi umesimama kwenye point kama decimal.../

Credits: Uju bau hau
Song: nimekumiss
Unju namkubali sana
 
Yanapokuwa Mahaba tena kwa Nyoyo zilizoshibana wewe wa Pembeni utaona ni Ubwege ila hayo mambo yaacheni kama yalivyo.
 
Back
Top Bottom