KWELI ELIMU YETU IKO MAHUTUTI

Ndondobwila

JF-Expert Member
Jun 9, 2015
562
407
Wana jamvi,
Heshima kwenu. Leo nimepita karibu na bunge letu tukufu. Nimepigwa na butwaa kuona hili bango katika kama sehemu tatu: STRICTLY NO PHOTOGRAPH ALLOWED IN THIS AREA. Kweli hakuna aliyegundua kuwa kiingereza cha tangazo hili kina tatizo?
Nilitaka nilipige picha lakini ghafla nikagundua kuwa tangazo hili linakataza kupiga picha!!
Kumbe siyo Sizonje peke yake mwenye matatizo na ung'eng'e!! Inaelekea yeye anatuwakilisha wengi!!
Tafadhali uongozi wa bunge tuondoleeni aibu hii haraka sana!
 
Wana jamvi,
Heshima kwenu. Leo nimepita karibu na bunge letu tukufu. Nimepigwa na butwaa kuona hili bango katika kama sehemu tatu: STRICTLY NO PHOTOGRAPH ALLOWED IN THIS AREA. Kweli hakuna aliyegundua kuwa kiingereza cha tangazo hili kina tatizo?
Nilitaka nilipige picha lakini ghafla nikagundua kuwa tangazo hili linakataza kupiga picha!!
Kumbe siyo Sizonje peke yake mwenye matatizo na ung'eng'e!! Inaelekea yeye anatuwakilisha wengi!!
Tafadhali uongozi wa bunge tuondoleeni aibu hii haraka sana!
Kwa faida yetu wote, ilitakiwa liandikwe vipi mkuu?
 
No beating photo here

Qur'an 2:
19. Au ni kama mvua kubwa itokayo mbinguni, ina giza na radi na umeme; wakawa wakitia vidole vyao masikioni mwao kwa ajili ya mingurumo, kwa kuogopa kufa. Na Mwenyezi Mungu amewazunguka makafiri.
Maelezo
 
No kicking photo here

10418ddd05d566f3361a62815ce3527f.gif
718613f60748d9812e04cba47cd0923f.jpg
 
Wana jamvi,
Heshima kwenu. Leo nimepita karibu na bunge letu tukufu. Nimepigwa na butwaa kuona hili bango katika kama sehemu tatu: STRICTLY NO PHOTOGRAPH ALLOWED IN THIS AREA. Kweli hakuna aliyegundua kuwa kiingereza cha tangazo hili kina tatizo?
Nilitaka nilipige picha lakini ghafla nikagundua kuwa tangazo hili linakataza kupiga picha!!
Kumbe siyo Sizonje peke yake mwenye matatizo na ung'eng'e!! Inaelekea yeye anatuwakilisha wengi!!
Tafadhali uongozi wa bunge tuondoleeni aibu hii haraka sana!
Kosa liko kwenye photograph ilipaswa iwe photography
 
Ni photography sio photographing

Uko sawa kabisa mkuu. Photography is the science, art, application and practice of creating durable images by recording light or other electromagnetic radiation, either electronically by means of an image sensor, or chemically by means of a light-sensitive material such as photographic film

Photography - Wikipedia
 
Uko sawa kabisa mkuu. Photography is the science, art, application and practice of creating durable images by recording light or other electromagnetic radiation, either electronically by means of an image sensor, or chemically by means of a light-sensitive material such as photographic film

Photography - Wikipedia
Tatizo la kucopy na paste bila ku digest. You are not right
 
Tangazo limeandikwa na sizonje aka the Draculla.

Tunamtaka BEN
 

Similar Discussions

2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom