Ndondobwila
JF-Expert Member
- Jun 9, 2015
- 562
- 407
Wana jamvi,
Heshima kwenu. Leo nimepita karibu na bunge letu tukufu. Nimepigwa na butwaa kuona hili bango katika kama sehemu tatu: STRICTLY NO PHOTOGRAPH ALLOWED IN THIS AREA. Kweli hakuna aliyegundua kuwa kiingereza cha tangazo hili kina tatizo?
Nilitaka nilipige picha lakini ghafla nikagundua kuwa tangazo hili linakataza kupiga picha!!
Kumbe siyo Sizonje peke yake mwenye matatizo na ung'eng'e!! Inaelekea yeye anatuwakilisha wengi!!
Tafadhali uongozi wa bunge tuondoleeni aibu hii haraka sana!
Heshima kwenu. Leo nimepita karibu na bunge letu tukufu. Nimepigwa na butwaa kuona hili bango katika kama sehemu tatu: STRICTLY NO PHOTOGRAPH ALLOWED IN THIS AREA. Kweli hakuna aliyegundua kuwa kiingereza cha tangazo hili kina tatizo?
Nilitaka nilipige picha lakini ghafla nikagundua kuwa tangazo hili linakataza kupiga picha!!
Kumbe siyo Sizonje peke yake mwenye matatizo na ung'eng'e!! Inaelekea yeye anatuwakilisha wengi!!
Tafadhali uongozi wa bunge tuondoleeni aibu hii haraka sana!