Mushobozi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2007
- 543
- 103
hapa Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam jana ya tarehe 16, vijana kadhaa kama 50 walipita maeneo ya Nkurumah na maktaba wakiimba Tunataka Boom. wakati huo tulikuwa ndani ya maktaba, na hivu kuanza kuogoka kama tutapona maana move hizi zikishaanza hata kama wewe sio mmoja wao unalazimika kuwa nao; ama kwa viboko au kufungiwa mpaka jioni pale unapokuwa.
mida ilikuwa saa nne. baada ya kuzunguka kama mara tatu, sikuelewa walipoishia, ila ilibidi nifuatilie ili kujua kulikoni. haya ndio majibu niliyopewa kutoka kwa wanafunzi;
st year students, wanalipiwa kwa grades, kuna wanaopata A, B, C na D
wanaopata A=100%, B=80%, C=60% na D=40% ya karo yote
ili upate hiyo meals lazima ujisajiri; na kujisajiri, lazima ulipie ile asilimia ambayo bodi haitakulipia kwenye account ya chuo. hivyo vijana wengi wameshindwa kujisajiri kwa hawamu. this is terrible, maana kuna watu hawajajisajiri na bado wansubiria huruma ya chuo iwasajiri ili watakapopata hiyo asilimia basi waweze kulipia.
baada ya chuo kuona hivyo tangazo la VC lililobandikwa kwenye otice Board limeextend muda wa kujisajiri hadi tarehe 30 October kama deadline, na shule imeanza tarehe 21 September, sasa mtu aliyefachelewa siku 39 ataweza kucoup kweli?
Pia kuna wale wanaoendelea, ambao hawajapata ela yao toka board. nao wako hapo.
nililazimika kwenda loan board TRDO leo asubuhi kujua kulikoni, nikaambiwa eti Chuo ndio kilaumiwe kwa kutopeleka taarifa za vijana wanaoendelea, na kutokubali kusajiri vijana wanaoanza ili wapewe ela zao za accommodations na meal
nilipoenda kwa Bursar kujua kulikoni, nimeanbiwa yeye sio msemaji ila ni mtekerezaji.
vijana eti wanaona tarehe 27 October ni mbali, siku ya mgomo usiokuwa na mwisho. jamani hali hii itakuwaje kama kila mtu anafanya kazi bila kujari Kanini za ubinadamu?
MUNGU IBARIKI TANZANIA
mida ilikuwa saa nne. baada ya kuzunguka kama mara tatu, sikuelewa walipoishia, ila ilibidi nifuatilie ili kujua kulikoni. haya ndio majibu niliyopewa kutoka kwa wanafunzi;
st year students, wanalipiwa kwa grades, kuna wanaopata A, B, C na D
wanaopata A=100%, B=80%, C=60% na D=40% ya karo yote
ili upate hiyo meals lazima ujisajiri; na kujisajiri, lazima ulipie ile asilimia ambayo bodi haitakulipia kwenye account ya chuo. hivyo vijana wengi wameshindwa kujisajiri kwa hawamu. this is terrible, maana kuna watu hawajajisajiri na bado wansubiria huruma ya chuo iwasajiri ili watakapopata hiyo asilimia basi waweze kulipia.
baada ya chuo kuona hivyo tangazo la VC lililobandikwa kwenye otice Board limeextend muda wa kujisajiri hadi tarehe 30 October kama deadline, na shule imeanza tarehe 21 September, sasa mtu aliyefachelewa siku 39 ataweza kucoup kweli?
Pia kuna wale wanaoendelea, ambao hawajapata ela yao toka board. nao wako hapo.
nililazimika kwenda loan board TRDO leo asubuhi kujua kulikoni, nikaambiwa eti Chuo ndio kilaumiwe kwa kutopeleka taarifa za vijana wanaoendelea, na kutokubali kusajiri vijana wanaoanza ili wapewe ela zao za accommodations na meal
nilipoenda kwa Bursar kujua kulikoni, nimeanbiwa yeye sio msemaji ila ni mtekerezaji.
vijana eti wanaona tarehe 27 October ni mbali, siku ya mgomo usiokuwa na mwisho. jamani hali hii itakuwaje kama kila mtu anafanya kazi bila kujari Kanini za ubinadamu?
MUNGU IBARIKI TANZANIA