MtamaMchungu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 8,310
- 11,152
Cha kujifunza ni kwamba ukitaka kutamba, kuwa kama Mo au Bakhresa; usitambie vyeo vya kupewa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
la Mramba aliwahi sema ndege ya rais itanunuliwa tu hata wananchi wale nyasi.Muhimu ni kuvumilia, alikuwepo Basil Mramba na Daniel Yona enzi ya Mkapa, hii duo ilikuwa hatari hujaona. Lakini Leo wako wapi?
TorfautishaNani kakuambia Polepole ni mtoto??!!--- au wewe ndiye Baba yake??!!, hebu tuambie !! 🤔
Leo umekula biriani unatema madiniYaaah binadamu TUNAPITA...
Yaah vyeo VINAPITA....
ILA......
Nchi HAIPITI....
Taifa HALIPITI...
"Punda" AFE ,nchi ibaki SALAMA....
#SiempreTanzania
#VivaTanzania
Biriani la asubuhi kama niko Somalia eee? 🤣🤣Leo umekula biriani unatema madini
Bila shaka hapa ni Ufaransa... Sasa hivi akienda tena lazima wamle ndogo
Torfautisha
UTOTO na
MTOTO
Mkuu muda wa lunch huu.Je hujui kwamba Utoto ni tabia halisi ya mtoto??!!🤔
Hata yeye atapita tu kama haamini aangalie kitambi chake kama kilikuwepo miaka 10 iliyopita.Mleta uzi idea anayoijadili ni kua humble duniani tunapita na cheo ni dhamana. Ili kuthibitisha idea yake ametumia mifano ya hao watu
Mkuu muda wa lunch huu.
Kumbuka weekend itaanza muda si mrefu.
Nini Jero.Nirushie jero basi!!😲
Nini Jero.
Tukutane Great park jioni
Dah!...hivi Polepole akiamua kuendeleza kile kipindi, je hao mawaziri watagoma kupokea simu?Hakika dunia tunapita
Nikimkumbuka Polepole anayepigia Wakuu Wa Wilaya, Mikoa mpaka IGP simu usiku Leo hii ni bureee kabisa Hana lolote .
Polepole aliwahi kutamba kwamba ana koneksheni kubwa dah maisha haya.
Makonda akiwa kileleni baba Keagan aliwahi kusema yeye ndio mtu anayepata raha kuliko watu wote duniani astaghafilulaaah.
Bashiru kwa majigambo anampigia simu waziri Fulani anamwambia ilifanya hivi na vile kazi huuuna khaaa.
Kuna la kujifunza.
Maisha haya tunapita tu jameni.
Magufuli leo kalala peke yake ule msururu wa makomando umemuacha daaah.
Hata mchepuko wake akiupigia simu usiku haupokei. Nini waziriDah!...hivi Polepole akiamua kuendeleza kile kipindi, je hao mawaziri watagoma kupokea simu?