ankol
JF-Expert Member
- Aug 21, 2012
- 2,085
- 3,430
Ni Nelson Mandela. Dunia nzima simanzi. Katutoka shujaa na mzalendo wa Africa.
Kitu unachotakiwa kujua ni kwamba, alifungwa jela miaka 27 lakini alipofunguliwa aliwasamehe wote waliomfunga na akashindwa kumsamehe mkewe mpendwa aliyemsaliti. Hapo waweza ona jinsi gani ku*ombewa kunavyouma!
Kitu unachotakiwa kujua ni kwamba, alifungwa jela miaka 27 lakini alipofunguliwa aliwasamehe wote waliomfunga na akashindwa kumsamehe mkewe mpendwa aliyemsaliti. Hapo waweza ona jinsi gani ku*ombewa kunavyouma!