CHADEMA kimefanya uzinduzi leo pale Mbagala kwa kuhakikisha wanakidhalilisha kituo cha televishoni cha taifa cha TBC kwa kukifukuza na kukipa masharti makali sana kuzidi ya kidkteta kwa kuwapa dakika 15 wawe wameondoka huku wanachama na viongozi wa CHADEMA wakiwazogoa.
Mwenyekiti Mbowe alidai kuwa TBC waondoke uwanjani haraka kwani wameshazima matangazo huku sisi mtaani tukiwa tunafatilia matangazo kupitia TBC ikiwa bado ipo hewani inatangaza mkutano, hili ni jambo la ajabu sana linafanywa na chama cha CHADEMA.
Hivi kama CHADEMA wakichukua nchi itakuwaje maana hata kufanya uchunguzi mdogo tu ili kujiridhisha kuwa kweli wamezima matangazo wanakurupuka kufukuza kituo cha TV na kibaya zaidi kuwadhalilisha uwanjani.
Hili ni swala la kupingwa na vyombo vyote vya habari kwani si haki na naviomba vyombo vyote vya habari kuacha kabisa kutangaza mkutano yote ya CHADEMA.
Leo CHADEMA imejionesha kuwa hiki ni chama cha kihuni kabisa kwani ni hatari kuwapa nchi kwani nilikuwa nawasikia kumsema Magufuli kuwa ni dikteta lakini leo wamewafukuza TBC kwa kuwapa dakika hii ni hatari.
Mwenyekiti Mbowe alidai kuwa TBC waondoke uwanjani haraka kwani wameshazima matangazo huku sisi mtaani tukiwa tunafatilia matangazo kupitia TBC ikiwa bado ipo hewani inatangaza mkutano, hili ni jambo la ajabu sana linafanywa na chama cha CHADEMA.
Hivi kama CHADEMA wakichukua nchi itakuwaje maana hata kufanya uchunguzi mdogo tu ili kujiridhisha kuwa kweli wamezima matangazo wanakurupuka kufukuza kituo cha TV na kibaya zaidi kuwadhalilisha uwanjani.
Hili ni swala la kupingwa na vyombo vyote vya habari kwani si haki na naviomba vyombo vyote vya habari kuacha kabisa kutangaza mkutano yote ya CHADEMA.
Leo CHADEMA imejionesha kuwa hiki ni chama cha kihuni kabisa kwani ni hatari kuwapa nchi kwani nilikuwa nawasikia kumsema Magufuli kuwa ni dikteta lakini leo wamewafukuza TBC kwa kuwapa dakika hii ni hatari.