LINCOLINMTZA
JF-Expert Member
- Mar 15, 2011
- 1,639
- 516
Ndugu Wanajamvi,
Nilikuwa 'nachat' na mkenya mmoja akaniuliza "Hivi na nyie vitu vimepanda bei kama huku kwetu?". Nikamjibu "Ndiyo tena Chama Cha Upinzani, CHADEMA kinafanya maandamano nchi nzima ya kupinga hali hiyo". Jamaa mwingine wa Uganda akiniambia kuwa nao hali ni hivyo hivyo na kweli vyombo vya habari vinatujulisha.
Bwana mmoja amenitonya kwamba taasisi nyingi zinazopata 'grants' hasa Vyuo Vikuu kule Ulaya na Marekani zimepunguza matumizi kwa kupunguza malipo na nafasi za tutorings kwa sababu 'grants' zimepunguza kwa idadi na kiasi.
Nikafanya utafiti kidogo, nikaambiwa kwamba effects ya "Global Economic Crisis" ndo imeingia kwenye nchi na taasisi zote zilizokuwa zinapata 'grants' kutoka nchi zilizoendelea kwa sababu grants nyingi zimeisha muda wake na hizo nyingi hazikubali kutoa mikataba mipya na ile iliyoendelea, kiasi kimepunguza. Hii imepelekea hali mbaya sana kwa nchi na taasisi zilizokuwa tegemezi kwa kiasi kikubwa sana kwa misaada hiyo.
Pamoja na matatizo yaliyopo serikalini, CHADEMA hawajawahi kuligusia hili katika mfumuko wa bei zaidi ya kuilaumu serikali iliyopo madarakani. Je, ndo kusema hawalijui hili?
Nilikuwa 'nachat' na mkenya mmoja akaniuliza "Hivi na nyie vitu vimepanda bei kama huku kwetu?". Nikamjibu "Ndiyo tena Chama Cha Upinzani, CHADEMA kinafanya maandamano nchi nzima ya kupinga hali hiyo". Jamaa mwingine wa Uganda akiniambia kuwa nao hali ni hivyo hivyo na kweli vyombo vya habari vinatujulisha.
Bwana mmoja amenitonya kwamba taasisi nyingi zinazopata 'grants' hasa Vyuo Vikuu kule Ulaya na Marekani zimepunguza matumizi kwa kupunguza malipo na nafasi za tutorings kwa sababu 'grants' zimepunguza kwa idadi na kiasi.
Nikafanya utafiti kidogo, nikaambiwa kwamba effects ya "Global Economic Crisis" ndo imeingia kwenye nchi na taasisi zote zilizokuwa zinapata 'grants' kutoka nchi zilizoendelea kwa sababu grants nyingi zimeisha muda wake na hizo nyingi hazikubali kutoa mikataba mipya na ile iliyoendelea, kiasi kimepunguza. Hii imepelekea hali mbaya sana kwa nchi na taasisi zilizokuwa tegemezi kwa kiasi kikubwa sana kwa misaada hiyo.
Pamoja na matatizo yaliyopo serikalini, CHADEMA hawajawahi kuligusia hili katika mfumuko wa bei zaidi ya kuilaumu serikali iliyopo madarakani. Je, ndo kusema hawalijui hili?